Tunaomchafua kina nani? kwanza sijawahi kumchafua nimekuwa nasema zuri na kama kuna baya nadhani nasema. Ukiwa kiongozi ni lazima ukubali kukosolewa na kusifiwa pia yote kubali. point yangu kutoka UN kunahitaji mapokezi?🚮🚮🚮🚮 Mnaomchafua mnatumia nguvu kiasi gani?