Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,637
- 13,052
Pole kwa mitihani ya kufuatwafuatwa na hao wagawa tuzi
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kwa upande wangu mimi hapana. Kwanza huwezi kuta namfollow yeyote. Hata siku moja. Siwezi asilani.
Ngoja nikupe kisa kingine.
Tukiwa hostel nilikua na baba wa chuo.
Sasa bwana si unajua hostel kwa wanaume kumavyokua? Either uvae taulo ama boxer kwenda bafuni. Sasa bwana kumbe kuna shoga anamlia radaa.
Siku yakamshinda. Akamfata. Akamwambia bwana mimi nakupenda. Naomba uwe mpenzi wangu. Huwa nakuelewa sana hasa muda unaoenda bafuni napenda kweli unavyovaa taulo lako. Na si kwamba baba wa chuo alikua na six pack hapana ila alikua na mwili wa kawaida. Yaani ile siku alioga mara ngapi sijui anasema nimepata nuksi leo. Hili gundu. Yaan walikua wamejaa kweli muleee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashoga wengi ni vijana wa mikoani mkuu. Na mabasha ndio wanatoka mikoani hiyoWatu wa pwani na Zanzibar hao
khaaaaah lolMau zinde.
Kuna ule wimbo wa taarabu sijui kibao kata wanaoupenda wenyewe.
"usesenge kauanza babayo kuuutumia" jamani hapo missenge yote itakatika kwa furaha.
Kuna sehemu dar hutakiwi kuingia ni laana yamejazana live live.
Na ya najua kujipendekeza hasa kuomba urafiki na bia.
Sasa atamtongozaje mwanaume mwenzaj
E
Sasa atamtongozaje mwanaume mwenzake? Angempa kichapo tu nje ya chuo heshima iwepo.
Nakumbuka O level kitoto kimoja kilikuwa kinasaga watu yaani kiko form 2 kinasaga wadada mpaka wa form six tena kanagombaniwa kanahudumiwa kama mume.
Aiseee nilikuwa kiongozi wa kukata fika.
Tulikatandika room yetu.
Na sie kesho yake tukatandikwa na walimu wote wa chuo.
Baadae kakaja kufukuzwa.
Kinondoni si ndo kwa mashoga lakini nakuhakikishia mtaani kwetu hawakatishi.
Labda wale mashoga wasiojionyesha lakini hawa dizain za kina Mo wakuache wanajua mziki wake.
Ww c ndio mmoja wao?Comments za huu uzi nimecheka mbavu sina lol.
Kwahiyo?Ww c ndio mmoja wao?
Vipi mkuu mbona mimi sijawahi kushobokewa na hawa wadudu wakati niko vizuri na viwanja vya maana naendaga? Au kuna kitu kwako kinawavuta bila wewe kujua?
Kimtizamo...ila uhalisia ni hivyo..Arusha ..tanga ..dar..mpaka bukoba..iringa..morogoro nk..wamejaa..Wazenji na pwani wanatake the lead
Lilikua lenyewe pande la mtu toka NBC, ila linatapishwa tope na kuna kingine kishoga kidogodogo sijui kinaitwa goodie kiliolewa Norway .
Insta, bar, sehemu za starehe nk.
Huku kote unafatwa na mashoga!
Nafikiri kuna kitu unataka kutuambia, siyo huu ujumbe.
Fact