My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,484
- 11,413
Lakini Wanawake Mnawa comfort Sana tena Sana tuuYaan hakuna sehemu ngumu kwangu hata kwa kupita tuu kama kino.
Yaani mwili unasisimuka. Sisi wote wadhambi ila kuna dhambi ngumu dah!!! Kuna siku enzi hizo wakati nikisoma chuo posta chakula ikawa shida. Ikabidi nihangaike mpaka breakpoint pale. Nikiwa kwenye foleni walikuja wakaka wazuri weupeee yaan you can call them cute. Nikajisemea yaani kudate wakaka wa hivi ni heart attack. Wamecaa vile vipensi vyao vya kwenye mapaja. Tukiwa tunaendelea kusubiria foleni booommm likaja kundi kuubwaaa mno la wanaume wengine. Wazuri mnoo. Only to find out walikua gays. Yaan nilitapata maumivu ya mama zao kwa niaba. Zile chips nilitamani kuziacha maana niliona kinyaa tena. Sijui kulikua na nini mpaka meeting point yao ikawa pale. Yaan niliondoka lile eneo upesi sijui hata hostel nilifikaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani wanawake wanawachukulia kama wenzao which is not right
Mfano Mzuri Mtandaoni Kwenye comments unaona kabisa wanamsifia nini