aly aly
Member
- Sep 6, 2019
- 83
- 65
Daa hawa viumbe wanabowa sana unakuta mtu anakuomba ulafiki mwisho wa siku mna chati utasikia anko naomba namba yako tuwasilia tubadilishane mawazo utasikia una whatssap ukimjibu ndio hapo sasa umeyakanyaga mara ooo umeowa mara ooo una watoto ukimjibu Sina umeyakanyaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app