Ndio natafakari na ile foleni.sehemu kama Malapa ilivyobusy
Namimi ila wameondoka na pesa zote but police wamenipa zaidi ya hizoNi wewe kwani?
Sasa majambaz tena wenye silaha umefikiri ni ndgu zako? Hujafa hujaumbika. Yakikupata ndo utamwelewa siroHongera dada!!!! Ila kauli ya Kamanda Sirro imenifanya nijiulize mashali mengi! Kauli ya kusema angewagonga awauwe kabisa....hii si kuchukuwa sheria mkononi
Hongera dada .. We hela umezipata kwa tabu.. Bae kakushughulisha weeeee alf watu wajechukua kimaandazi maandaz tu....
Wanaume wa dar wapo busy kutafuna mihogo mibichi na nazi angalau wapate nguvu za kiume xo wavumilieni tu.Kwa dar hayo mambo yanafanywa na wanawake tuu
Wanaume wa dar wanamkimbiza mwizi baada ya kudondosha bunduki,
Ha ha ha ha
aisee hao jamaa co wa kuwachekea hata kidogo... Huyo anaesema ati haki za binaadam hajawwhi kukutana na hizo show za majambaziDuh, huyu dada ni kiboko...lakini yule shangazi wa haki za binadamu lazima atalaani kitendo hiki...huu ni ukiukaji wa haki za binadamu, majambazi yalitakiwa yagongwe taratibu (siyo kwa haraka) ili yapelekwe kwenye vyombo vya haki kwa maana ya mahakamani...tutajuaje ikiwa yalikuwa majambazi hayo...tehtehtehteh...inawezekana hao watu wamesingiziwa tu na wamekimbia tu umati wa watu kuogopa kuchomwa moto...tehtehteh...hakuna uthibitisho kama silaha hizo ni za majambazi...tehtehteh...haki za binadamu wachukue hatua haraka kulaani tabia ya watu kugonga hovyo wenzao....tehtehtehje ....
Majambazi wapatao 4 maeneo ya Buguruni Malapa yakiwa na bodaboda yalimvamia dada na kumtaka atoe fedha dada akaambia hataki purukushani na kuwafungulia wachukue fedha,
dada akaingia kenye gari na majambazi wakachukua fedha kiasi cha 420,000, baada ya kuchukua wakaondoka na bodaboda zao kisha dada akawasha gari na kuwagonga
baada ya kugongwa wakaruka kwenye pikipiki wakaacha silaha aina ya SMG na wananchi walijaribu kuwakimbiza lakini hawakufanikiwa
Ila hongera naamin utakuwa mfano wa kuigwa