Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,802
- 11,961
Salaam Wakuu,
Kuna tukio la kusikitisha sana limetokea leo Kawe Ukwamani katika Wilaya ya Kinondoni.
Mtoto Zuhura (13) wa darasa la Sita Shule ya Msingi Kawe, kapigwa kwa fimbo, kachomwa moto na chuma kilicho chemka kiasi kwamba hata alipo hawezi kuongea Vizuri.
Ayubu Ruwa baada ya tukio kaenda zake kwenye kazi zake bila kuchukua hatua yoyote ya kuhakikisha mtoto anapewa huduma ya kwanza. Majirani ndo sasa Wanahangaika kuwasaidia.
Hii nmeileta hapa kama taarifa kwa wanaohusika na Utetezi wa Watoto (CDF), haki za Wanawake na Jeshi la Polisi ili waweze kuchukua hatua.
Huu ni unyanyasaji wa kijinsia haukubaliki.
Inanilazimu kuweka picha baadhi ili waone umuhimu wa kulifuatilia hili swala
Kisa kilikuwa hivi
Jana alifua nguo za shule, usiku mtoto mwenzake alianua, ilipofika asbh baada kuangalia saa alienda chumba cha jirani kuomba sare zake za shule.
Nyumba jirani ilikuwa na mtoto wa kike wa rika sawa na Zuhura, alipotoka kule baba yake akawa anamuuliza ametoka wapi mtoto akasema alienda kufuata sare zake
Ndipo kipigo kikaanza hadi kufikia hatua hiyo.
Stay tuned
Kuna tukio la kusikitisha sana limetokea leo Kawe Ukwamani katika Wilaya ya Kinondoni.
Mtoto Zuhura (13) wa darasa la Sita Shule ya Msingi Kawe, kapigwa kwa fimbo, kachomwa moto na chuma kilicho chemka kiasi kwamba hata alipo hawezi kuongea Vizuri.
Ayubu Ruwa baada ya tukio kaenda zake kwenye kazi zake bila kuchukua hatua yoyote ya kuhakikisha mtoto anapewa huduma ya kwanza. Majirani ndo sasa Wanahangaika kuwasaidia.
Hii nmeileta hapa kama taarifa kwa wanaohusika na Utetezi wa Watoto (CDF), haki za Wanawake na Jeshi la Polisi ili waweze kuchukua hatua.
Huu ni unyanyasaji wa kijinsia haukubaliki.
Inanilazimu kuweka picha baadhi ili waone umuhimu wa kulifuatilia hili swala
Kisa kilikuwa hivi
Jana alifua nguo za shule, usiku mtoto mwenzake alianua, ilipofika asbh baada kuangalia saa alienda chumba cha jirani kuomba sare zake za shule.
Nyumba jirani ilikuwa na mtoto wa kike wa rika sawa na Zuhura, alipotoka kule baba yake akawa anamuuliza ametoka wapi mtoto akasema alienda kufuata sare zake
Ndipo kipigo kikaanza hadi kufikia hatua hiyo.
Stay tuned