Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,908
Pm plzš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uchunguzi upo ila wa kumfunga paka kengeleDaaa..... Bahati mbaya hakunaga uchunguzi nchi hii
Hizi id mpya hizi..kwema?Pm plzš
Wew acha ulongo, lazma ufe kwanza....kifo hakiepukiki ukisha zaliwa.Sio kweli. Tupo ambao Bwana Yesu atatukuta tukiwa hai wakati wa unyakuo wa Kanisa, tutabadilishwa kufumba na kufumbua tutapaa mawinguni kumlaki BWANA wetu.
YESU NI MWOKOZI
Kwema tuHizi id mpya hizi..kwema?
Ingekuwa enzi zile hao bodaboda wangetumia mbinu mbadala kulitambua hilo gari, ila vijana siku hizi ndiyo hao walibaki wakishangaaKamanda Kingai ameeleza kuwa bodaboda waliokuwa wamepaki jirani na eneo hilo walishuhudia gari lililowashaa taa likisimama kwa dakika mbili kisha wakaona mwanamke ametupwa.
Duh...hakuna uongozi wa nchi ambao haujawahi kupitwa na vifo au mauani....unataka nikiuwekee ushahidi??Na wale waliokuwa wanauawa wakati wa JPM unajifanya umewasahau, au?!
Unajuaje Kama hilo gari halinatambuluwa? Yaani waliomuua watakamatwa tu...Ingekuwa enzi zile hao bodaboda wangetumia mbinu mbadala kulitambua hilo gari, ila vijana siku hizi ndiyo hao walibaki wakishangaa
Ajabu! Angegongwa mwenzao hata kama ni kwa kosa lake, wangeifukuza Noah had I Mtwara waikamate!!!Hawa wauaji mbona wanajiamini sana? Wanatupa maiti mjini kabisa!
Na hao bodaboda wanaona watu wanatupa maiti wanabaki kushangaa tu
Kwani nimesema tawala zingine hapakuwa na mauaji hadi utake kuniwekea ushahidi kunithibitishia yalikuwapo?! Labda mwekee huyo anayejaribu kuonesha kwamba mauaji yalishakoma, na kwahiyo anaona hili ni kama jipya!!Duh...hakuna uongozi wa nchi ambao haujawahi kupitwa na vifo au mauani....unataka nikiuwekee ushahidi??
Imenisononesha sana, alikuwa muungwana sana yule dada, hakuwa na makuuMama wa watu wamemuonea bure,huu ni unyanyasaji wa kijinsia ,ndio kwanza alikuwa mlemavu wa mkono mmoja...
Ok orodhesha hapa hayo yanayodaiwa ni mauajiKwani nimesema tawala zingine hapakuwa na mauaji hadi utake kuniwekea ushahidi kunithibitishia yalikuwapo?! Labda mwekee huyo anayejaribu kuonesha kwamba mauaji yalishakoma, na kwahiyo anaona hili ni kama jipya!!