Kwa tz nazo zitaibwa tu ndg yangutunahitaji kamera za mitaa kwakweli zinaweza kutusaidia
Sijui kwa kweli💔Mapenzi? Kivip?
Ipo hivi mkuu au labda hata mtoa mada hajui hii.Mbona unatoa habari haijitoshelezi? Unatetemeka? Marehemu ameuwawa hapo ITV? Kwa nini Henry Mabumo ndio aje kuutambua mwili?
hao jamaa ni "cowards" sanaLakini watu bhana, sqsa huyo kwanza ukimvamia hata hawezi jisaidia maskini na mkono mmoja jitu limuua....
Hakika....maeneo ya kamunyonge au nyamatareHuyu Dada kwao ni Musoma na kwao ni karibu tu na home pia baba yake alifariki tu mwaka jana
There is a hidden msg... It was done with purpose..!!!Hiyo confidence ya kutapa mwili Saturday saa sita usiku maeneo ya mwenge anayo kichaa tu.RIP DADA.
EeeYule mnene ?
Yeye yupo majitaroad ila mtaa ni karibu na kamnyonge ila tumepishana tu barabaraHakika....maeneo ya kamunyonge au nyamatare
Wanataka kumchafua MamaHaya ya utekaji na uuaji tulishayasahau,yani Jiwe kaondoka tu haijapita hata mwezi tayari maonezi yameanza.Daah so sad
Kutaka kueleweshwa ni usumbufu? Watu wa Dar bana!
Tulikuwa peace? Sema yeye alikuwa anaua kimya kimya na hawaonekani. Na hutasikia popote wala kusoma popote.Kati ya mambo ambayo ninayahofia baada ya kifo Cha JPM Ni hili la wimi la ujambazi.... Tulikuwa peace hatari
Kifo cha ajali kinaonekana tu. Jeraha haliwezi kua jichoni pekeyake.Lakini usiku huo muda mfupi kabla ya tatizo hilo la kukutwa amefariki alikuwa anakunywa pombe na rafiki yake pale sokoni Makumbusho stendi na alikuwa amelewa sana(kulingana na wenyeji sokoni ambapo Blandina naye ni mwenyeji mno hilo eneo kwani aliwahi kuwa na jiko la chakula na ana rafiki yake mpendwa)...