Mtetezi wake kafa.Kama msimamizi wa DARMPYA MEDIA LIMITED (Darmpya Blog&Tv Online) nasisitiza habari iliyoandikwa kumhusu N/W Katambi kuhusu kauli yake kwa vijana wa Tanzania ni maneno yake na hatuwezi kuomba radhi kwa sababu hatujakosea.
Ushauri: asipoteze muda kutishia Media hii.
John Marwa
CEO
View attachment 2084140
View attachment 2084141
Habari kamili waliyoandika DarMpya Blog ni hii hapa mpaka Katambi akawataka waombe radhi.
View attachment 2084148
Ni kabila gani Katambi?Ya Job Ndugai yanaweza kujirudia!
Amefuata nyayo.
Hata kamba ndefu huwa zinakatikaNdio wajifunze kutafakari kabla ya kuongea, naona wote huko serikalini waropokaji tu, wacha waendelee kula kwa urefu wa kamba zao.
Nimemsikiliza eti nae huyo ni mbunge na naibu waziriAmefuata nyayo.
Mateke? Why God?Katambi anafikiri kuwa bado yupo kwenye enzi za Kayafa!🐒🐒🐒View attachment 2084166View attachment 2084167
Kipi kibaya akichoongea???? DarMpya wameandika kizandiki tu, ila ameongea vizuri sana. Ss WaTZ tunatumika vibaya sana na wanasiasa. Hali kama hii imepelekea mpaka mtu asiye na elimu awe kiongozi wa chama kitaifa kisa tu chama cha Mkwewe. Msikilize vizuri kisha rudi kwenye Darmpya (CHADEMA) walivyaiandika.Nimemsikiliza eti nae huyo ni mbunge na naibu waziri
Aibu kwa wote waliompigania akafika hapo.
Huyo ni mbunge kijana ambaye amevimbiwa mapema,asaidiwe asirudi
Kama yuko sahihi kwa nini kaikana kauli yake?Punguzeni hasira! Siasa sio ushabiki wa yanga na Simba, kwangu katambi yupo sahihi tu kwa clip hiyo
Hajaikana, amewaambia hao Darmpya waache kupotosha na waandike kimtazamo chanya.Kama yuko sahihi kwa nini kaikana kauli yake?
Ogopa teknolojia..
Unakomaa nae au sio😂😂😂Sina chakuwaambia Bavicha,ila nawaambia watanzania kwa ujumla yakuwa,huyu hafai ata kuwa mjumbe,ni bogaz la ajab
Hahaha ivi mmemuelewa!! uandishi haujatuliaEti nguvu kazi nyeti ya taifa
Ndiye mwehu ambae MATAGA humlinganisha na Nyerere🤡🤡🤡Mateke? Why God?
Sasa hili punguani linataka DarMpya waombe radhi kwa lipi? Si maneno yake hayo? Huyu dogo huwa anaropoka sana!
Unawaambiaje CCM waliompa ukuu wa wilaya, ubunge na uwaziri?Kwa hiyo unawaambiaje Bavicha? maana tulimpa mpaka uenyekiti.