Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,582
Ina maana usafiri wa hizi treni unabamba sana au ni propaganda tu?
Kuna njia moja tu ya kulijua hilo.
Itabidi nami nipande moja ya hizi treni kabla mwaka haujaisha.
Naona sasa hata ‘Wachaga’ wanamkubali Rais Magufuli 🤣
Kuna njia moja tu ya kulijua hilo.
Itabidi nami nipande moja ya hizi treni kabla mwaka haujaisha.
Naona sasa hata ‘Wachaga’ wanamkubali Rais Magufuli 🤣