Tena hizi ni nyumba muhimu sana kwa JW.Firw hapo si wana kituo kikubwa tu hapo Lugalo
Wakishindwa kuuzima huo kwa wakati ni Uzembe, maana hapo kuna hadi visima vya maji nadhaniTena hizi ni nyumba muhimu sana kwa JW.
Eneo linafikika kwa urahisi
Umena Kweli kabisa mkuu. Na kuna back up ya kisima cha maji kwenye ofisi ya TRA/NMBWakishindwa kuuzima huo kwa wakati ni Uzembe, maana hapo kuna hadi visima vya maji nadhani
Fire wanakituo lugalo pale
Huo moto ukizidi dakika 45 ,inabidi fire watoe maelezo ,hilo eneo ni Rafiki sana kwa kazi yao na aina ya wakazi wa hapoUmena Kweli kabisa mkuu. Na kuna back up ya kisima cha maji kwenye ofisi ya TRA/NMB
Hatari Maanahayo magorofa ni machafu sana
hiyo ni kinondoni mcity mkuu,tuko shoping kwanza tukirudi tutacharge simu kwanza ndipo tuone wa mikoani mnatupondaje ndipo tuamue kuuzima kwa dakika ngapi.Wanaume wa dar kazimeni moto
Wanaume wa dar kazimeni moto
Habari wakuu,
Kuna moto unawaka Magorofa ya Mwenge, yanayoitwa Magorofa ya Jeshi pale karibu na TRA.
Zima moto bado hawajafika, na moto imazidi kusambaa..
View attachment 1197462
HahahaMkeo yupo Kariakoo-Dsm mwezi wa pili sasa anafungasha mzigo na akirudi amechoka hataki game wiki mbili..
Mkuu kacheki DNA za hao watoto..