figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,484
- 54,854
Moto mkubwa umewaka katika Gereji moja Jijini Dar es Salaam karibu na uwanja wa mazoezi wa Timu ya Yanga, huku Gari nyingi zikiwa zimeteketea kwa moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na zimamoto makao makuu wako mita mia tatu tu kutoka hapo!!mmh zimamoto hawana maji?
Zingeungua.Wat if ungesambaa kwenye nyumba za watu
Short and clearZingeungua.
Hahahaaaaa we mtambo!!huu Motto ungewaka Mitaa ya lumumba ningeshukuru sana