Dar: Moto wateketeza Magari ya Gereji Jangwani

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,484
54,854
Moto mkubwa umewaka katika Gereji moja Jijini Dar es Salaam karibu na uwanja wa mazoezi wa Timu ya Yanga, huku Gari nyingi zikiwa zimeteketea kwa moto

13697041_1186218388107919_7833205703390283912_n.jpg
13659187_1186218404774584_2232298234523850410_n.jpg
bb5774c3-8b54-4226-9940-0cb8f06b5ee2.jpg
 
Aaah...usiku hivi..sio hujuma ya viwanja hapo kweli...!!? Duuh, karibu kabisa na club ya Yanga hapo..!! Alafu kuna magari mengi hapo sana.. sasa moto unawaka hivyo, sio bure sio mtu kamwagia mafuta na kuwasha kweli..? maana moto hatari huo..!!
 
Ukitazama waokoaji karibu wote msaada wa kwanza waliotoa hapo ni kupiga picha na video kusambaza kwenye mitandao,
kutoka pale Fire mpaka hapo hata dakika 5 hazifiki na kuna magari zaidi ya matatu muda wote yamepaki,mpaka moto umefika hivyo hapakuwa na askari au woote wamekwenda Dodoma pia?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom