Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Wakuu,
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kupitia ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (ZCO), imemuita kwa ajili ya mahojiano Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mbunge wa Bunda mjini, Mhe Ester Bulaya.
ameambatana na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee(CHADEMA) kwenda huko Polisi.
Bulaya alifika Mahakamani hapa Kisutu kuhudhuria kesi ya Mbunge Mwenzake wa Tarime Vijijini John Heche
Haijafahamika wazi anaenda kuhojiwa juu ya nini hasa, ila inadaiwa anaenda kuhojiwa kuhusu maandamano yaliyofanyika Februari 16, 2018 katika eneo la Kinondoni, Jijini Dar es Salaam.
====
Amehojiwa kuhusu uchochezi. Amepata dhamana Polisi kwa kudhaminiwa na Wadhamini wawili. Anatakiwa kurepoti tena 13/04/2018.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kupitia ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (ZCO), imemuita kwa ajili ya mahojiano Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mbunge wa Bunda mjini, Mhe Ester Bulaya.
ameambatana na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee(CHADEMA) kwenda huko Polisi.
Bulaya alifika Mahakamani hapa Kisutu kuhudhuria kesi ya Mbunge Mwenzake wa Tarime Vijijini John Heche
Haijafahamika wazi anaenda kuhojiwa juu ya nini hasa, ila inadaiwa anaenda kuhojiwa kuhusu maandamano yaliyofanyika Februari 16, 2018 katika eneo la Kinondoni, Jijini Dar es Salaam.
====
Amehojiwa kuhusu uchochezi. Amepata dhamana Polisi kwa kudhaminiwa na Wadhamini wawili. Anatakiwa kurepoti tena 13/04/2018.