Tumepeana heshima kwanzaMmeanza kuelewana sasa
Safi Lisa Peter camera man, Mzee Omary aka Dj. Ommy nimemtaja, bubu maandazi, choo Cha mapambano kile Cha shimo maji yakikata foleni ya kukatia gogo inakuwa pale daaaaa!!!
Ooh Rip TOD.ToD amerehemika hivi karibuni
SaluteTumepeana heshima kwanza
Alifundishwa kubonyeza PLAY na EJECT kwenye deki ya kina Alex msamehe tu.Unaona ulivyo kichaa hata sheria za umiliki wa Silaha hujui.
SI useme uelimishwe wewe mmong'oo
Hilo jamaa ni li chiziAlifundishwa kubonyeza PLAY na EJECT kwenye deki ya kina Alex msamehe tu.
Nimekuelewa Mkuu, mwanzo nilidhani katokana na ukoo wa Korosso kwani kipindi hicho cha miaka ya 1985 alikuwepo Jaji Koroso hapo Moshi nikidhani alikuwa mtoto wake kumbe Alex katokea Majengo na kwa Mtei kule, hapo ndipo nilipomtafuta maeneo yote na hasa walipo,taja Baba yakeMkuu
Alex kasemwa vibaya sana,hakuna aliemtetea maana tayari watu wa Gift wameshika narrative
Alex alionewa ndio maana kajitetea
Kuhusu comparison za mazishi ni utani nilikua nafanya na jamaa.Alex financial ni ahead of Gift kwa mbali sana ndio maana mazishi yana difference kubwa mno
Alex alikua celebrity ujue,anajulikana na watu sana!
Mnaweza kuchapana na mkarudi mkapiga Bwii pamoja na manundu yenuAny time
Lolote lawezekana. Ni kukaa kimachale tu
Mnaweza kuchapana na mkarudi mkapiga Bwii pamoja na manundu yenu
Hata mm nazisubiri sana hizo picha au hata Clip hasa baada ya kugundua jamaa ni mkazi wa kwa Mtei badala ya Shanty Town MoshiChawa Pro Max mbona hajaleta picha za mazishi ya Alex. Maana alisema jamaa ni famous vibaya, siku ya mazishi Moshi itasimama
Ana sifa zote za madalaliAlex alikuwa ni supplier wa vifaa tiba katika mahospitali Muhimbili, Mloganzira, Ocean Road na Mahospitali ya Mikoani. Sina hakika kama akaunti yake Facebook Ameirestrict lwa friends only, kama ipo open kwa public andika "Alex James" utampata hapo. Then utasema kama alikuwa dalali au vipi....
Meneja ws Bar kasema Alex alikunywa bia za laki sita na sabini akashindwa kulipa ikabidi mke wake aje kulipa.Chawa Pro Max mbona hajaleta picha za mazishi ya Alex. Maana alisema jamaa ni famous vibaya, siku ya mazishi Moshi itasimama
Hahaha, eti kirikuu haiwezi beba.Meneja ws Bar kasema Alex alikunywa bia za laki sita na sabini akashindwa kulipa ikabidi mke wake aje kulipa.
Huyu jamaa alikuwa ni bonge ya mlevi...laki sita ni kreti ambazo kirikuu haiwezi kubeba.
Hakunywa mwenyewe ..alinunulia watu bia na Kitimoto ndo ikafika hiyo bill ....Meneja ws Bar kasema Alex alikunywa bia za laki sita na sabini akashindwa kulipa ikabidi mke wake aje kulipa.
Huyu jamaa alikuwa ni bonge ya mlevi...laki sita ni kreti ambazo kirikuu haiwezi kubeba.
Sidhani kisheria ni rahisi hivyo. Kuonyesha silaha hadharani ni kosa kisheria, pili Gift was "unarmed". Kisheria makosa ya silaha, burden of proof ni ya mshtakiwa na si ya prosecutor. Definition ya aggression hapo ingekuwa mtihani, pili mazingira ya kumuua mtu pia yangeangaliwa kwa undani. Mara nyingi kama mtu ni unarmed, a warning shot is reasonable option. Hili halipo hapa. Tatu time lapse. Kitendo cha kuonyesha a loaded weapon kwa masaa kadhaa kinaonyesha an intention to hurt somebody ingawa siyo overt. Miaka 30 ilikuwa inamhusu, with good behaviour angetoka baada ya 15.Yes. Hili ndo tunalopaswa kuliona. Hapa wengi tuko kimhemko. Angepigwa mvua kadhaa tu. Liwe funzo kwetu sote na basi
"Vijana mjifunze kumiliki silaha ni kuongeza majukumu na uwajibikaji na siyo kitu cha maonyesho"Sidhani kisheria ni rahisi hivyo. Kuonyesha silaha hadharani ni kosa kisheria, pili Gift was "unarmed". Kisheria makosa ya silaha, burden of proof ni ya mshtakiwa na si ya prosecutor. Definition ya aggression hapo ingekuwa mtihani, pili mazingira ya kumuua mtu pia yangeangaliwa kwa undani. Mara nyingi kama mtu ni unarmed, a warning shot is reasonable option. Hili halipo hapa. Tatu time lapse. Kitendo cha kuonyesha a loaded weapon kwa masaa kadhaa kinaonyesha an intention to hurt somebody ingawa siyo overt. Miaka 30 ilikuwa inamhusu, with good behaviour angetoka baada ya 15.
Ni heri huyu Alex kajiua, kafa kifo cha kizembe sana na kuiachia familia matatizo makubwa. Vijana mjifunze kumiliki silaha ni kuongeza majukumu na uwajibikaji na siyo kitu cha maonyesho
Nunua Silaha wewe, nakuja kwenye ofisi yenu nalewa halafu nakupiga busu kwa lazima"Vijana mjifunze kumiliki silaha ni kuongeza majukumu na uwajibikaji na siyo kitu cha maonyesho"
Hapa tufunge mjadala. Tumemaliza kila kitu. Bastola ni mzigo. Tusikimbilie kumiliki wakati hatujui negatives zake.