mibiki mitali
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 238
- 392
Jina lake tu NI kituko tosha. Eti kitimotoAisee! Maswali mengine bana, kazi tunayo.
Chekecha akili yako
Jina lake tu NI kituko tosha. Eti kitimotoAisee! Maswali mengine bana, kazi tunayo.
Chekecha akili yako
Yani wewe Kitimoto kazi yako ni kutembeza dislike tu humu nda
Ile sauti pombe lazima ikate, kuna mwaka tukiwa bar wazee wa kazi wakaingia wakatandika kama tatu hewani.Alifyatua motooo waleviii akakimbiiiaaa hatareeeeeekakakaa
HahahaIle sauti pombe lazima ikate, kuna mwaka tukiwa bar wazee wa kazi wakaingia wakatandika kama tatu hewani.
Kilichotokea ni ndani ya nusu dk lile eneo tuliwaachia wao.
Kitimoto gonga unlike but all in all Mimi was mjini kitambo marehemu tunajua Hadi jina la utoto dingi yake akiwa jambarika Ms Majengo mtaa wa Shaurimoyo dogo tukamuacha form 2 old school ya HM Rwamasi sojaOk Oraa alikuwa na mwanae jina jenero na mdogo wake jina sikumbuki ni true au nimekosea?
Wakapumzike panapowastahili, pia serikali iwe makini sana katika kuwamilikisha baadhi ya watu silaha!Watu wawili wamefariki Dunia jioni hii Saa 11...baada ya Jamaa anayejishughulisha na Biashara ya Madawa ya Binadamu Alex Koroso kumpiga risasi Jamaa ambaye jina lake halijajulikana lakini anasadikika ni Mziba Pancha wa Maeneo hayo na kisha yeye kujiua kwa kujipiga Risasi kwenye shingo na Kufumua Ubongo wake.
Habari zaidi zitawajia
MUENDELEZO...
===
Watu wawili wamefariki Dunia katika baa ya Lemax iliyopo Sinza kwa Remmy mkoani Dar es Salaam. Baada ya mtu aliyekuwa amelewa kumpiga risasi na kumuua mtu aliyekuwa akimuonya mlevi huyo kuacha kitendo cha kuonesha hadharani silaha aina ya bastola ambapo mlevi huyo akamuua kumuua aliyekuwa akimuonya na kisha kufyatua risasi hewani kabla ya kujiua.
TAZAMA MASHUHUDA WAKIELEZA TUKIO HILI HAPA CHINI: (Video Credit ITV)
View attachment 1857511
Ile sauti pombe lazima ikate, kuna mwaka tukiwa bar wazee wa kazi wakaingia wakatandika kama tatu hewani.
Kilichotokea ni ndani ya nusu dk lile eneo tuliwaachia wao.
😀Kambale mtamu aisee,Pole nyingi kwa ndugu.Lkn jamani kwanini umpige mtu risasi umuuwe na ww ujiuwe!!?
wamechoka kula ugali kambale hawa....
Kijana wa majengoooAbdi Hussein ....Alex James Koroso. One man down.
Sikumwelewa yule marehemu,inakuaje mkeo anauza papuchi na alikua mkongwe pale alafu anamwonea wivu.
Basi mimi nitaendelea kumwakilisha, njoo inboxKijana wa majengooo
Basi Kama maisha yamekuchangamsha natumain now hujakaa kimanka umekaa kimjini mjini etiHa ha ha nimezaliwa huku huku dethilamu. Ila maisha ndo yananichangamsha. Nilikuaga fala mmoja hv
Ni misifa tuu mkuu. Jamaa alikuwa anaifyatua tu hovyo hovyo akajikuta ashatoa uhai wa mtu naye akaona isiwe ishu ila all in all hakuna kitu kibaya kama kuamka nazo kisha ukaenda kuzibua yani unakuwa hi kinoma.Sawa...
Mwisho wa siku ni alikuwa amelewa
Akapishana kauli na wenzie,zisizo kuwa
Na mbele wala nyuma akawatandika risasi
Yeye mwenyewe akajitandika!
Mambo ya mtungi + anajua mwenyewe nini kilikuwa kinamsumbua
Ova