Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,494
- 1,874
Kweli, wengi asili yao ni Kyela (Ntebheela) kutoka ukoo wa MwakalingaNa wanyakyusa wapo,ni jina la Kibantu.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kweli, wengi asili yao ni Kyela (Ntebheela) kutoka ukoo wa MwakalingaNa wanyakyusa wapo,ni jina la Kibantu.
Sasa wanyaki wabebe tuhuma zao,acha sisi tunywe mtori wetu na absolute vodka
Keki kuwekea urembo wa silaha
Hii ni ishara ya psychological problem kwa mtu mzima
Ndiyo hilo la ujivuni na ujuaji alikuwa nalo ila alikuwa muoga, sikuwahi kushuhudia au hata kusikia yeye kuanzisha fight au hata kushiriki. Labda huo uoga wake ndio uliomfanya atafute kitu cha kumpa confidence. Ila pia alikuwa yupo exposed hivyo ni kweli alikuwa anafamu issues nyingi. Ametembea sana.
Kuna video zinatembea akiwa ana train kushoot...huo mguu wa kuku ulimchanganya sana na inaelekea ilikuwa ni ndoto zake kuumiliki.
Kuanzia saa 6 mchana, majanga nikaja pata saa 5 usikuHebu ngoja kwanza, ulikunywa vitu hivyo vyote kwa muda gani? Yaani ulianza mida gani na kwa kukadiria ulimaliza mida gani?
Kuna harufu ya chai
Ok Oraa alikuwa na mwanae jina jenero na mdogo wake jina sikumbuki ni true au nimekosea?Huyu si mtoto wa Mzee James Oraaa wa Majengo Moshi, baba yake alikuwa real money maker & fighter. Hawa ni wanyakyusa ila maisha yao wamekuwa Moshi.
Baba yake kamiliki mguu wa kuku kipindi Cha kina Raisi Mwinyi na akuwahi kusumbua raia na mtu wa watu.
Sawa...Kikao kipo hapo mwika wakuu na mm nipo kwenye kikao kama una swali serious kuhusu marehemu unaweza niuliza ni best friend wangu na mm ni member wa hiyo lemax..mengi mnayoyaongea sio kweli ni hearsay...ila mengine kweli
Kwa wanaomjua huyo jamaa, wanasema ni mtu mbabe mbabe tangu akiwa mdogo...
Na huenda hata hiyo silaha aliomba kuimiliki ili kuendeleza tu tabia yake ya utemi...
Unamkumbuka jaji Koroso?Aliyejiua ni wa Kilimanjaro. Labda ndugu zake na yeye mwenyewe walihamia. Au la majina yanafanana
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Walisema kikao kitakaa mwika jioni ya leo ila sina uhakika kama wameshamaliza issues za kipolisi.Kama unajua msiba upo/utakuwa wapi naomba nijulishe. Kuna bro wake mmoja alisoma Ilboru way back alikuwa mtu mmoja cool sana, anajua vitu vingi in details. Nimepotezana nae muda mrefu, I hope atakuwepo msibani.
Nadhani si kila mtu wa kupatiwa umiliki wa Bunduki.
Abdi Hussein ....Alex James Koroso. One man down.Alikuwa babe wangu kitambo
Fighter Sana wa maisha.ila alikuwa na sifa dunia nzima yaani.alizaliwa kwenye utajiri mzee wake akafulia hakukubali .jamaa alikuwa mbishi hadi kwenye maisha kweli bwana akaja akatoboa.miss u abdi Alex koroso.unakumbuka uzi wangu wa watu naoelewana nao?? Nilimtaja
Aisee! Maswali mengine bana, kazi tunayo.Hapa anahusika na nini
Aisee ndio madhara ya kujitoa muhanga ukamvike paka kengeleHuyo jamaa aliepigwa risasi anaitwa Gift ni fundi wa accessories za magari pembeni ya hio bar.
Alienda kumtuliza bwana Koroso ambae alikua kalewa na kutishia watu bastola ndo kibao kikamgeukia akapigwa risasi
Sahv kwenye ma bar kuna upuuz mwingiNi kwamba mtu anapoenda kuhitaji silaha ya kujilinda (bastola) tayari huyo mtu
kashakidhi vigezo vyote vyakuita laki 1 (kijisent) sasa ndugu yangu mtu ambae laki 1
ni kijisent unafkiri kuna wakumnyima silaha akiamua enda iomba? tena kwa kufata utaratbu?
maana ana uwezo wakuipata hiyo silaha kwa magendo,ila hajataka iwe hivyo akaamua afate utaratbu
unafkiri watoa vibali wakibustiwa na vijisent vya jamaa watakua na ubavu wakunyima/kuzuia vibali kwa muombaji?
Penye pesa hakishindikani kitu serikali yenyewe inahtaji pesa,sembuse huyo mtoa kibali cha kumiliki bastola?
Tufundishane tu na kufundisha watu wote kuwa unapoona unaeongea nae kakuzidi kila kitu Bila kujali ana bastola au hana, jiweke mbali nae maana ulimi wako wa neno 1 tu unaweza sababisha uka acha TITLE kwenye vyombo vyote vya habari.
Wenye pesa hasa watumia vileo sio watuwakukaa nao karibu kbsa, Ni mashetani yanayotembea nchi kavu ukiyavuruga yanakuvuruga kila kitu.
Yaan limtu linakasilika kuona sms kwa mwwnzake wakati hpohpo lisimu lake limejaa ma sms ya michepuko ,Na usishangae kusikia jamaa aliona sms ya mapenzi kwa mkewe,
Wote Sasa wame dedAlafu mke na pesa zilizoachwa vyote vinaliwa na jamaa