Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,828
MnyakyusaTupe kabila lake tugeuze upepo wa tuhuma tunazopewa humu leo
MnyakyusaTupe kabila lake tugeuze upepo wa tuhuma tunazopewa humu leo
Mbona normal tu in fact hatoki nayokheee... umekuja? Ndiyo. Kwanini ushike boobs zangu? Who are u?
Wahuni sio watu wazurikheee... umekuja? Ndiyo. Kwanini ushike boobs zangu? Who are u?
Keki kuwekea urembo wa silaha 😳😳😳😳
Shehe punguza ukali wa maneno.WALEVI NA POMBEE
wanaume wamefirwa sababu ya pombe.
Madem wamefirwa sababu ya Pombe
Watu wameibiwa, wameuliwa sababh ya Pombe.
Huko Uingereza, inasemekana asilimia 20% ya vifo vilivyotokea wakat wa wote wa rokudauni vimetokana na Pombe.
Acheni Pombe !!!
Pole sana kwa msiba mzitoAlikuwa babe wangu kitambo
Fighter Sana wa maisha.ila alikuwa na sifa dunia nzima yaani.alizaliwa kwenye utajiri mzee wake akafulia hakukubali .jamaa alikuwa mbishi hadi kwenye maisha kweli bwana akaja akatoboa.miss u abdi Alex koroso.unakumbuka uzi wangu wa watu naoelewana nao?? Nilimtaja
Nitag huo uzi niusome. Nimesikia jamaa ni usalama wa taifa
Bar yenu ipo maeneo gani?Aisee, asante sana mkuu. Lile tukio nilichukiaa. Sikufikaga tena ofisini aisee. Nilikaa mudaaa. Nilipata mfadhaiko sana. Niliogopa sana. Maybe pia ningekua na silaha ningemdhuru kweli. Nilipokuja sikia amekufa basi nikakaa kimya tu japo bado najisikiaga hasira kila nikilikumbuka lile shetani
Mkuu kama unayo hiyo kitu, uliinunua pasina kuwa na uhitaji nayo!Sawa lakini sehemu ambayo kila mtu ana kufahamu kama kweli unaishi na watu vizuri kuanzia masai,malaya,bodaboda na wahuni wengine watakulinda hilo dude unaacha nyumbani, linaongeza kauzito tu kiunoni na kwa wenye akili fupi linaongeza uzito akilini baada ya pombe.
Alikuwa na misifa Sana chaaa.yaani alikuwa hatembei na mademu wa tz eti daah Alex alikuwa na shobo hatari mwishowe kachukua bongo movie huko sijui alimuoa ??Pole sana kwa msiba mzito
Anatakiwa atulie kama wewe etiKuna kiumbe kinaitwa Kitimoto kinamwaga chuki kwenye kila post. Kiumbe kama hiki kikiwa na bastola kikapata stress kinamwaga risasi kwa kila mtu hadi ziishe.
Ukifanya research kwanza utaona asilimia kubwa ya wanaomiliki bastolaSilaha pesa bastola mzigo. Kama unahela sana basi kuna mtu wa kubeba huo mzigo.
Duka la dawa linalipa ukikaa mwenyewe...ndio kilichomponza alex, akili zake hazikumudu hizo hela chache alizokuwa anapata akajikuta boss kama bill gatesAlikuwa na misifa Sana chaaa.yaani alikuwa hatembei na mademu wa tz eti daah Alex alikuwa na shobo hatari mwishowe kachukua bongo movie huko sijui alimuoa ??
Alex alikuwa na nyota ya hela sana.hata kipindi anauza nguo alikuwa poa Sana tu.alipata helaaa akaenda kuzila DecDuka la dawa linalipa ukikaa mwenyewe...ndio kilichomponza alex, akili zake hazikumudu hizo hela chache alizokuwa anapata akajikuta boss kama bill gates
Huwa najisikia offended sana mtu akinishika maumbile yangu. Napata hasira sana.Mbona normal tu in fact hatoki nayo