Mr Miyagi
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 935
- 1,662
Nunua Silaha wewe, nakuja kwenye ofisi yenu nalewa halafu nakupiga busu kwa lazima
Miss Pablo atakutoa macho
Nunua Silaha wewe, nakuja kwenye ofisi yenu nalewa halafu nakupiga busu kwa lazima
Ha ha ha ha kama sijakata kibabu chako na chupa. Usijaribu asilaniNunua Silaha wewe, nakuja kwenye ofisi yenu nalewa halafu nakupiga busu kwa lazima
Hawezi huyu. Nitaenda watafuta wana wampige roba moja hiyo hatasahauMiss Pablo atakutoa macho
Mimi mwenyewe mpiga roba. Nakuja na wanangu wa Tandale. Utanipenda tuHawezi huyu. Nitaenda watafuta wana wampige roba moja hiyo hatasahau
Hala kama wataka niondoke na malighafi zako za uchumi wa katiMimi mwenyewe mpiga roba. Nakuja na wanangu wa Tandale. Utanipenda tu
Hahaaa. Zile ni malighafi muhimu, usithubutu heri uniue tuHala kama wataka niondoke na malighafi zako za uchumi wa kati
Alex...Dah..!
Sasa fikiria tu tukio hili lilivuotokea bado putin hajaivamia UkraineUsifikiri watu wote wazima
Watu wana misongo ya mawazo+uchizi
Ova
Mkuu umepotea wapi siku hiz? Au presha ya crypto kushukaWabongo bana.....
unaweza kuta ww jamaa upo mwakaleli....
lkn unavyo comment as if upo kwenye tukio....umeshuhudia....
Ipo mkuuHii bast
Hii bastola yenye magazine 16 naihitaji