Mh. Mkuu wa mkoa anaendelea na Ziara na Mikutano katika jiji la DAR Es Salaam. Licha ya kunukuliwa akilalamika kuhusu watumishi na mambo ya ardhi. Napenda niulize swali.
Je Matatizo ya Dar Es SALAAM Kama haya pichani nayo yanahitaji mikutano ya Hadhara?
Je Matatizo ya Dar Es SALAAM Kama haya pichani nayo yanahitaji mikutano ya Hadhara?