Dar: Mapokezi ya ndege ya pili ya ATCL aina ya AirBus A220-300(Ngorongoro) katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere

Askofu Kakobe anathubutu hata kumpiga "FIX" mungu sasa, achilia mbali sisi raia.

Kuna wazee kila umri ukizidi kwenda mbele wanazidi kua na BUSARA, ila kuna wengine kila wakizeeka wanazidi kuwa WEHU.
 
Uamuzi sahihi kabisa nakumbuka kuna siku tulikwama Kigoma ATCL walikodi hiyo Fokker ni ndege ya abiria kabisa ndani haina tofauti kwamba ni special plane hapana, na infact kwa logic hizo mbili zina umri mkubwa hivyo baada ya muda mfupi zaweza kuwa outdated kwa matumizi ya viongozi hivyo bora zizalishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anapofanya kizuri hana budi kusifiwa ki ukweli mheshimiwa rais nampa hongera kwa hili suala la ununuzi wa ndege maana utalii wa ndani utaongezeka kwa kiwango kikubwa,chamsingi ni kuangalia uendeshaji wake wa shirika la ndege isije ikatokea kama yale ya nyuma, kwa kifupi nawapa hongera CCM kwa kumpata mtu sahihi kwa wakati sahihi kama huu
 
"JokaKuu, post: 29983814, member: 221"]..nadhani ilitosha kupokea ile kubwa ya kwanza.
.hizi nyingine angemuachia Dr.Mbarawa au Mh.Kamwelwe wazipokee.
Sikumbuki kuona Mwl akiwa amewakusanya watu kila mara. Hata Uwanja wa ndege terminal II Mwl alikwenda kufungua na kuondoka. Ndege za ATC zilipowasili baada ya EAC hatukuona haya. Kuna wakati muda wa viongozi uzingatiwe na matukio yapewe kipaumbele
..pia angesitisha kuwakusanya Spika, Jaji Mkuu, CDF, IGP, na viongozi wengine wakuu ktk hafla za kuapisha wateule wapya.
Hili ni tukio la kiofisi.
Sikuona siku za nyuma watu wakipewa nafasi ya kuhutubia baada ya kuapishwa au wakijazana na familia zao. Ni tukio la kisheria baasi, Kuwakusanya viongozi hao haipendezi.
Kila kiongozi atakuwepo eneo lake likihusika wengine sidhani kama wanahitajika
Kuna uhusiano gani, kwa mfano kumwapisha Mkurugenzi au katibu mkuu wa wizara na uwepo wa viongozi wakuu wa mihimili na maeneo mengine?
..Zoezi la kuapishwa inafaa lihudhuriwe na wasaidizi muhimu wa Ofisi ya Raisi, watendaji wa mamlaka ya nidhamu ya aliyeteuliwa, pamoja na wanafamilia wachache.
exactly
..Kinachoendelea sasa hivi kinanikumbusha kipindi cha Raisi Kikwete ambapo kulikuwa na utaratibu wa serekali nzima na vyombo vyake kwenda kumuaga na kumpokea kila anaposafiri
Kuna wakati Mwl alikataa hayo. Alikuwa akisubiriwa na wanafunzi akauliza, wanasoma saa ngapi?

Kuna mambo ya siasa, ya kiofisi, taratibu na protokali. Sidhani kama wasaidizi wanamsaidia Mheshimiwa kuyaratibu kwa ukubwa na hadhi ya ofisi
 
Sikumbuki kuona Mwl akiwa amewakusanya watu kila mara. Hata Uwanja wa ndege terminal II Mwl alikwenda kufungua na kuondoka. Ndege za ATC zilipowasili baada ya EAC hatukuona haya. Kuna wakati muda wa viongozi uzingatiwe na matukio yapewe kipaumbele Hili ni tukio la kiofisi.
Sikuona siku za nyuma watu wakipewa nafasi ya kuhutubia baada ya kuapishwa au wakijazana na familia zao. Ni tukio la kisheria baasi, Kuwakusanya viongozi hao haipendezi.
Kila kiongozi atakuwepo eneo lake likihusika wengine sidhani kama wanahitajika
Kuna uhusiano gani, kwa mfano kumwapisha Mkurugenzi au katibu mkuu wa wizara na uwepo wa viongozi wakuu wa mihimili na maeneo mengine? exactly
Kuna wakati Mwl alikataa hayo. Alikuwa akisubiriwa na wanafunzi akauliza, wanasoma saa ngapi?

Kuna mambo ya siasa, ya kiofisi, taratibu na protokali. Sidhani kama wasaidizi wanamsaidia Mheshimiwa kuyaratibu kwa ukubwa na hadhi ya ofisi
Sasa unataka kila mtu afanye kama alivyofanya Mwalimu?
 
Ni Wa Kusamehewa
Mkuu Loth
Je? Ni vibaya kumpongeza mtu anapofanya jambo jema?.
Rais Magufuli akifanya vyema tumpongeze kama tunavyo msema ovyo asipofanya vyema.
Ndege hizi, barabara na madaraja kwenye njia panda hivyo vinastahili pongezi kwake. Kwani pamoja na kodi zetu bado amezitumia vizuri na zimeonyesha matunda kuliko kishia kwenye matumbo ya wajuaji wachache.
2. Kama binadamu lazima kuna mahali atakosea, lakini kwa watu wastaarabu lazima tuweke mzani wa mema na mabaya.
3. Watanzania tujifunze kutumia akili zetu wenyewe tuache kulishwa mawazo ya watu.
Hayo ni mawazo yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Ctr
Ukweli ni kuwa hizi ndege A220-300 ni Bombadier CS300 iliyobadilishwa jina baada ya kuchukuliwa na Airbus. Kwanini hatuambiwi hii kweli sehemu yoyote?
 
Watu wanapiga kelele, ooh Mhe anavunja Katiba, anatumia fedha bila idhini ya Bunge, yaani mradi basi watu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Kwa wajuvi wa Katiba yetu wanaelewa, kuna vifungu vinampa mamlaka Mhe Rais kufanya matumizi ya fedha za Umma ndo atoe taarifa Bungeni.

Hata hvyo, kama ingekuwa kweli kwamba anatumia fedha bila idhini ya Bunge tujiulize,

Je Serikali zilizokuwa zinatumia fedha kwa idhini ya Bunge zilikuwa na ufanisi kiasi gani!?

Je, fedha hizi zinazotumiwa bila idhini ya Bunge zinatumiwa kwa maslahi ya umma!?

Je, Watanzania mahitaji yetu ni kuwa na Kiongozi anayezingatia Katiba pekee au anayelinda maslahi ya Taifa!?

Tukijiuliza maswali haya kizalendo kabisa bila mihemko ya Kisiasa naamini tutapata majawabu mujarabu yatakayotupa picha pana na kumuunga mkono Kiongozi wetu mpendwa.

Kwa imani yangu, Mhe Rais anao upungufu wake kama binadamu, lakini wakele walisema "Mngonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!!
Mkuu Loth
Je? Ni vibaya kumpongeza mtu anapofanya jambo jema?.
Rais Magufuli akifanya vyema tumpongeze kama tunavyo msema ovyo asipofanya vyema.
Ndege hizi, barabara na madaraja kwenye njia panda hivyo vinastahili pongezi kwake. Kwani pamoja na kodi zetu bado amezitumia vizuri na zimeonyesha matunda kuliko kishia kwenye matumbo ya wajuaji wachache.
2. Kama binadamu lazima kuna mahali atakosea, lakini kwa watu wastaarabu lazima tuweke mzani wa mema na mabaya.
3. Watanzania tujifunze kutumia akili zetu wenyewe tuache kulishwa mawazo ya watu.
Hayo ni mawazo yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Ctr
Ukweli ni kuwa hizi ndege A220-300 ni Bombadier CS300 iliyobadilishwa jina baada ya kuchukuliwa na Airbus. Kwanini hatuambiwi hii kweli sehemu yoyote?
Mbona walishasema toka ndege ya kwanza ilipowasili kwanza.
Ukitembelea website ya bomberdier wameeleza vizur, sambamba na airbus wenyewe pia wameelezea vizur tu.
Ni vizur ukajisome mwenyewe kuliko kusubiri kuambiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha! Kumbe DAB ndiye anayefanya kazi ya kuwashawishi Viongozi wa dini wawepo kwenye matamasha ya mfalme! Naona walikuwa wanajaribu kumshawishi na Mwl. Mwakasege awepo, DAB utasubiri sana. Huyo haendi kokote kama sio Roho Mtakatifu kamtuma. Si rahisi sana kumtumia kisihasa kama unavyoweza wazoa wengine!
Mwakasege ni true mtumishi wa Mungu. Huwa anaomba kibali kwanza kwa Mungu. Haendi hiv hiv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee asikuambie mtu ndege za Air Tanzania zinapendeza sana unapoziona zikipita kwa juu. Jaribu kuziangalia alafu ulete mrejesho. Ata sisi tusiozipanda tunapata furaha fulani na kuamini ipo siku litatokea zali la mentali. Pongezi kwa mbunifu wa hizi rangi na aliyehakikisha zinznunuliwa. Ni raha ilioje.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom