Dar: Mapokezi ya ndege ya pili ya ATCL aina ya AirBus A220-300(Ngorongoro) katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere

Kwa umri wangu nimeshuhudia utekelezaji wa llani za vyama kwa miaka ipatayo 15 lakini sijapata kuona ufanisi wa utekelezaji wake kama miaka mitatu ya JPM madarakani.

Kwa kasi hii, naamini huyu mzee atatekeleza ahadi zote na kutekeleza za nyongeza ambazo haxikuwepo kwenye llani ya 2015 - 2020.

Mm sina Chama lakini kwa kasi ninayoyaiona huyu mzee nnayo kura yake 2020 bila hata kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeangalia upande mmoja au jambo moja tu ambalo pengine wengi wetu tunaweza kuungana nawe.

Kwa bahati mbaya sana unasahau pande nyingine ambazo pia ni muhimu na za msingi zaidi hata kuuzidi upande huo mmoja tunaokubaliana na wewe kuhusu haya mazuri tunayoyataka sote yatokee kwenye nchi yetu.

Wengine tutamnyima kura zetu kwa kuyaangalia hayo ya msingi zaidi anayoyaharibu kama kutakuwepo na chaguo mbadala litakaloweka matumaini juu ya hayo anayoyaharibu.
 
Hotuba za siku hizi hakuna neno VIWANDA, wakati ndio kuna ajira nyingi kama vikiwepo vingi.
Mkuu anachukia english kwa nini asibadili mtaala kabisa.
Viwanda (pending..)
 
Moja ya hotuba nzuri sana kutoka kwa mheshimiwa raisi hotuba iliyojaa uzalendo. Mungu akulinde JPM.
 
JPM kaza hivyo hivyo , Hadi walioko ubeligiji watakosa la kuwwaambia mabeberu wao.

Nimesikia huku kitaa wanajadili nani wa kuchukua mikoba yako 2025 . Wanajibizana wenyewe kwa sasa hakuna. Tunaomba sana aje mwenye mapafu Zaidi yako ili hadi 2050 tuwe wa kwanza afrika.
 
Kufanya jambo hili la kisiasa ni makosa makubwa. Itagharimu ufufuaji wa ATCL, unless tunafikiria ufufuaji ni kununua ndege tu.
 
Teyari Canada in mdau mkubwa was maendeleo was Tanzania tusgapeleka pesa nyingi Canada kununua ndege......SSA lazima tuhakikishe Canada wanatuunga mkono katika juhudi zetu nyingi za made ndeleo..na wale waluotususia waone aibu
 
Screenshot_20190111-200532_Samsung Internet.jpg
 
[QUOTE="Roving Journalist,]

Tanzania itakuwa Ulaya. Niamini. Nawaomba Watanzania kila mmoja aamini hivyo.[/QUOTE]
Tukisikia kauli kama hizi ndo watu hujikuta tunaporomosha matusi...hivi hili jitu liko sawa kweli kichwani?
 
[QUOTE="Roving Journalist,]

Tanzania itakuwa Ulaya. Niamini. Nawaomba Watanzania kila mmoja aamini hivyo.
Tukisikia kauli kama hizi ndo watu hujikuta tunaporomosha matusi...hivi hili jitu liko sawa kweli kichwani?[/QUOTE]
Kwa nini matusi? Mbona yeye hajatukana au kusema itakua ulaya ndo tusi? Punguza jazba kwani siku ikiwa ulaya kweli utatahayari buree
 
Askofu Kakobe amenukuliwa akiyasema hayo siku ya leo pale alipoalikwa kwenye uzinduzi wa Air Tanzania, na kupewa nafasi ya kufungua warsha kwa maombi.

"Kabla ya kuomba ni vyema tungeanza na neno kidogo ili hata maombi yenyewe yanoge kidogo".. Alinukuliwa Askofu.
Alianza kwa maandiko, Luka 6:26 '..mheshimiwa Rais Ole wenu watu wote watakapowasifu, Mungu anasema ukiona watu wote wanakusifu basi Ole wako..' Aliongeza

Askofu aliongeza tena kusema, mheshimiwa rais haya unayoyafanya usitegemee kila mtu atakusifu, hata kama ungegawa gunia moja moja kwa kila kaya wapo ambao wangesema umetuwekea sumu.
"Mimi ni mbishi sana, hivyo unapoona nimekuja mahali kama hapa, ujue kweli nimekoshwa." Alisema Askofu Kakobe. Watu wanasema ni kodi zetu zimenunua ndege hizi, sawa kwani hata abiria wanaposafiri safari ndefu hata kama wamelioa nauli, Je hawampongezi rubani aliyewasafirisha salama ? Sisi tunaye rubani mzuri, rais john magufuli... Aliongeza Askofu Kakobe.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom