Dar: Mapokezi ya ndege ya pili ya ATCL aina ya AirBus A220-300(Ngorongoro) katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere

Mabaaa karibu yote yanasikiliza kinachoendelea uwanja wa ndege. Huyu jamaa ni charismatic leader. Jk watu walikuwa hawako interested hivi kusikia speech zake wala hazikuwa na mvuto.
Jpm anavutia wengi mno ndo mana watu wanasubilia speech zake wako radhi hata wasile.

Ikitokea leo akatoka bila kuongea watu hawataridhika kabisa wanamsubili yeye tu wengine ni mbwembwe tu
Upo bar gani kwa sasa kiongozi?
 
Mabaaa karibu yote yanasikiliza kinachoendelea uwanja wa ndege. Huyu jamaa ni charismatic leader. Jk watu walikuwa hawako interested hivi kusikia speech zake wala hazikuwa na mvuto.
Jpm anavutia wengi mno ndo mana watu wanasubilia speech zake wako radhi hata wasile.

Ikitokea leo akatoka bila kuongea watu hawataridhika kabisa wanamsubili yeye tu wengine ni mbwembwe tu
Kumbe wewe ni mzururaji kutwa kucha unapita kwenye mabaa kupiga mizinga ya vinywaji,shauri yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Taashira -Ni matumizi ya lugha ya ishara kuwakilisha ujumbe fulani. Jina au kitu fulani kinatumika kumaanisha kitu kingine chenye uhusiano na kile kilichotumiwa. Symbolism
  • Taswira -
  • Ni matumizi ya lugha/maneno yanayojenga picha ya hali au jambo fulani kwa msomaji.
  • Tashihisi -Hii ni mbinu ya kupatia kitu kisicho hai sifa za kiumbe mwenye uhai (sifa za kibinadamu). Uhuishaji. Personification.
  • Chuku -Ni kutumia maneno yaliyotiliwa chumvi ili kusisitiza ujumbe fulani au kusifia kitu. Kutilia Chumvi. Hyperbole
Matumizi ya lugha!
 
Kwa umri wangu nimeshuhudia utekelezaji wa llani za vyama kwa miaka ipatayo 15 lakini sijapata kuona ufanisi wa utekelezaji wake kama miaka mitatu ya JPM madarakani.

Kwa kasi hii, naamini huyu mzee atatekeleza ahadi zote na kutekeleza za nyongeza ambazo haxikuwepo kwenye llani ya 2015 - 2020.

Mm sina Chama lakini kwa kasi ninayoyaiona huyu mzee nnayo kura yake 2020 bila hata kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndege ni mali ya serikali chini ya Government Flight Agency, hao ndio wanaikodisha ATCL ndio maana kama umeona pale kuna tukio la Balozi Eng. Kijazi kutiliana saini na watu wa wizara ya mawasiliano ili kuwakabidhi hizo ndege.
Huoni ni kama vile anasukumiziwa lile zigo la 1.5 T taratibu ..............!!?
 
Mabaaa karibu yote yanasikiliza kinachoendelea uwanja wa ndege. Huyu jamaa ni charismatic leader. Jk watu walikuwa hawako interested hivi kusikia speech zake wala hazikuwa na mvuto.
Jpm anavutia wengi mno ndo mana watu wanasubilia speech zake wako radhi hata wasile.

Ikitokea leo akatoka bila kuongea watu hawataridhika kabisa wanamsubili yeye tu wengine ni mbwembwe tu
Hata tamthilia na katuni zinatazamwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa umri wangu nimeshuhudia utekelezaji wa llani za vyama kwa miaka ipatayo 15 lakini sijapata kuona ufanisi wa utekelezaji wake kama miaka mitatu ya JPM madarakani.

Kwa kasi hii, naamini huyu mzee atatekeleza ahadi zote na kutekeleza za nyongeza ambazo haxikuwepo kwenye llani ya 2015 - 2020.

Mm sina Chama lakini kwa kasi ninayoyaiona huyu mzee nnayo kura yake 2020 bila hata kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapokea mzigo kutoka kwa mabeberu!

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha! Kumbe DAB ndiye anayefanya kazi ya kuwashawishi Viongozi wa dini wawepo kwenye matamasha ya mfalme! Naona walikuwa wanajaribu kumshawishi na Mwl. Mwakasege awepo, DAB utasubiri sana. Huyo haendi kokote kama sio Roho Mtakatifu kamtuma. Si rahisi sana kumtumia kisihasa kama unavyoweza wazoa wengine!
 
Hahahaha! Kumbe DAB ndiye anayefanya kazi ya kuwashawishi Viongozi wa dini wawepo kwenye matamasha ya mfalme! Naona walikuwa wanajaribu kumshawishi na Mwl. Mwakasege awepo, DAB utasubiri sana. Huyo haendi kokote kama sio Roho Mtakatifu kamtuma. Si rahisi sana kumtumia kisihasa kama unavyoweza wazoa wengine
 
Jamani hivi Rais alipopokea ndege ya kwanza au Dreamliner haikutosha kwa viongozi kujazana JNIA
Hili linatatiza kidogo, kuna umuhimu gani wa kwenda JNIA kila siku kupokea ndege?

Tunasema hivyo kwasababu yanapotokea majanga kama yaliyowahi kutokea tuliambiwa Rais ana majukumu mengi ya kitaifa hivyo kushindwa kuhudhuria licha ya ukubwa wa matukio hayo na uzito wake kijamii na kibinadamu

Kwa haya ya uwanja wa ndege kila siku yale majukumu mengi tunayoaambiwa wakati wa misiba yapo wapi?

JokaKuu Pascal Mayalla

..nadhani ilitosha kupokea ile kubwa ya kwanza.

..hizi nyingine angemuachia Dr.Mbarawa au Mh.Kamwelwe wazipokee.

..pia angesitisha kuwakusanya Spika, Jaji Mkuu, CDF, IGP, na viongozi wengine wakuu ktk hafla za kuapisha wateule wapya.

..Zoezi la kuapishwa inafaa lihudhuriwe na wasaidizi muhimu wa Ofisi ya Raisi, watendaji wa mamlaka ya nidhamu ya aliyeteuliwa, pamoja na wanafamilia wachache.

..Kinachoendelea sasa hivi kinanikumbusha kipindi cha Raisi Kikwete ambapo kulikuwa na utaratibu wa serekali nzima na vyombo vyake kwenda kumuaga na kumpokea kila anaposafiri.
 
Back
Top Bottom