Dar: Mapokezi ya ndege ya pili ya ATCL aina ya AirBus A220-300(Ngorongoro) katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere

Yahya hana miradi mikubwa angalao yenye hadhi ambayo yy anaweza kuzindua ndio maana anazindua mpaka zahanati ya kijiji ambayo DC angeweza kuzindua.Pili,anataka kujijenga yeye pekee ili aonekane yy ndio mchapakazi hataki kuwapa wengine exposure.Na ndio utashangaa mambo ya intelijensia anayazungumza hadharani as if yeye ndio aliyekua anakusanya hizo taarifa ili kujipa sifa binafsi.Na hii ni hatari sana ,taarifa za intelijensia zinakusanywa kwa usiri mkubwa lkn yy anazileta hadharani anasahau kuwa matokeo mazuri ya kazi ndio huonyesha kuna watu wako kazini na wako makini.
 
Hahaa naona DAB Kampiga dongo mzee wa msoga " mara hii ameshasahau alipotoka ..... (hivi ulivyo wewe angekuwa mwingine watoto wake tungekuwa tuna gombana nao mitaani )

Mwisho wa kunukuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kasahau fadhila
 

Attachments

  • images(1).jpg
    images(1).jpg
    14.1 KB · Views: 22
Nimemsikia Rais kama vile anasema Katibu Kiongozi Balozi Kijazi ndiye aliyeidhinisha pesa za kununua ndege ...... hii imekaaje!!?
Ndege ni mali ya serikali chini ya Government Flight Agency, hao ndio wanaikodisha ATCL ndio maana kama umeona pale kuna tukio la Balozi Eng. Kijazi kutiliana saini na watu wa wizara ya mawasiliano ili kuwakabidhi hizo ndege.
 
... leo anaweza kutwambia kadukua mawasiliano ya akina nani nchini na kipi alichogundua kwenye udukuzi wake.

ndugu, unanikumbusha wakati fulani watu walivyokuwa wanawahi kurudi majumbani mwao ili tu kuwahi kipindi cha ze comedy cha akina Joti.

hata baa nazo zilikuwa zinafurika kwelikweli kwa ajili ya kutizama ze comedy.

wasanii huwa wana mvuto wao usipime bana!!
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom