HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,363
- 94,543
Sasa hauna uhakila alafu tena unakuja uliza imekaaje, hizi ni dalili za UFIPASISM.Nimemsikia Rais kama vile anasema Katibu Kiongozi Balozi Kijazi ndiye aliyeidhinisha pesa za kununua ndege ...... hii imekaaje!!?
Mkuu samahani kwa kukukwaza ila utakuwa mmoja kati ya wachache wasiomuunga mkono raisi wetu
Kama hujasikia subiri waliosikia watakuja kuweka sawa .............!!Sasa hauna uhakila alafu tena unakuja uliza imekaaje, hizi ni dalili za UFIPASISM.
Hivi siku hizi kurusha ndege nayo ni deal mpaka unatambulishwa kwenye Luninga ...........!!
Rekebisha ulichosema, sio kila anayesoma jf uzi huu kaangalia na kusikiliza.Kama hujasikia subiri waliosikia watakuja kuweka sawa .............!!
Ufipa wanapata tabu sana.JPM hizi ndege ni mvua za lashalasha, mvua kubwa inakuja kunyesha Tanzania
Tatizo lako nini kwaniSerikali nzima inakuja kuipokea ndege, aisee hii ni aibu kubwa
"Waziri mkuu" wa Canada naye yupo pale mbona !Serikali nzima inakuja kuipokea ndege, aisee hii ni aibu kubwa
Serikali nzima inakuja kuipokea ndege, aisee hii ni aibu kubwa