Dar: Mahakama ya Kisutu yamfutia kesi na kumwachia huru dereva aliyetuhumia kumteka Mo Dewji

mugah di matheo

JF-Expert Member
Jul 28, 2018
6,276
12,335
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemfutia kesi na kumwachia huru dereva taksi Mousa Twaleb aliyekuwa akituhumiwa kuhusika na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji almaarufu ‘Mo Dewji’.

Twaleb alipandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza Mei 28, 2019 akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kumteka Mo, tukio lililotokea alfajiri ya Oktoba 11, 2019 wakati mfanyabiashara huyo akielekea mazoezini katika Hoteli ya Colosseum iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Bilionea huyo aliachiliwa huru Oktoba 20, 2019 zikiwa ni siku tisa baada ya kutekwa baada ya watu waliomteka kudaiwa kumtelekeza kwenye viwanja vya Gymkhana.

dewji.png
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemfutia kesi na kumwachia huru dereva taksi Mousa Twaleb aliyekuwa akituhumiwa kuhusika na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji almaarufu ‘Mo Dewji’.

Twaleb alipandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza Mei 28, 2019 akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kumteka Mo, tukio lililotokea alfajiri ya Oktoba 11, 2018 wakati mfanyabiashara huyo akielekea mazoezini katika Hoteli ya Colosseum iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Bilionea huyo aliachiliwa huru Oktoba 20, 2019 zikiwa ni siku tisa baada ya kutekwa baada ya watu waliomteka kudaiwa kumtelekeza kwenye viwanja vya Gymkhana.

And the show is over!!
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemfutia kesi na kumwachia huru dereva taksi Mousa Twaleb aliyekuwa akituhumiwa kuhusika na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji almaarufu ‘Mo Dewji’.

Twaleb alipandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza Mei 28, 2019 akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kumteka Mo, tukio lililotokea alfajiri ya Oktoba 11, 2018 wakati mfanyabiashara huyo akielekea mazoezini katika Hoteli ya Colosseum iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Bilionea huyo aliachiliwa huru Oktoba 20, 2019 zikiwa ni siku tisa baada ya kutekwa baada ya watu waliomteka kudaiwa kumtelekeza kwenye viwanja vya Gymkhana.


Kwahiyo Mo alitekwa kwa mwaka mmoja na siku 9?

kwanini hii ipo kwenye Jukwaa la SI-HASA?
 
Taxi driver allegedly involved in billionaire Mohammed Dewji's kidnapp set free
The CitizenJul 27, 2021

Dar es Salaam. The Kisutu Resident Magistrate's Court has dismissed the case and acquitted taxi driver, Mousa Twaleb, after the Director of Public Prosecutions told the court he had no intention of continuing with the charges against him.
Mr Twaleb was charged with three counts of kidnapping prominent businessman Mohammed Dewji popularly known as Mo, in a case of economic sabotage number 42/2019.

In the main case, the court was told that between May 1, 2018 and October 10, 2018, Mr Twaleb was involved in a criminal syndicate that operated between Dar es Salaam and Johannesburg.

The aim of his involvement was to assist implementation of a crime for personal gain.

Mr Twaleb at Kisutu at the Kisutu Resident Magistrate's Court. PHOTO | FILE

In the second count, the court was told that in October 11, 2018, at Colloseum Hotel located in Kinondoni District in Dar es Salaam, Mr Twaleb connived with assailants to abduct the businessman.

On July 10, 2018, at the Mbezi Beach area in the Kinondoni District, Twaleb is accused of laundering Sh8 million generated through crime.
 
Huyo Mussa Twalib amechukuliwa kuwa kama "scapegoat" wakati wahusika wa utekaji na kutesa watu, wakiwa wanapeta mitaani😁😁
 
Back
Top Bottom