Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Kwa wale waliokuwa na shaka kwamba CHADEMA ni Chama Cha Dini ile someni michango yao hapa utapata Majibu
Akili zako zimeishia hapa sio? Kwani polisi wanapoangalia kundi la watu wanaoandamana na kuzuia maandamano wanapaswa kuangalia ni wa DINI gani au CHAMA gani? kwani Polisi ina dini au CHAMA? we haukuona Mwenge waliingia na kupiga hata mabomu kanisani kwa Mwingira na kukamata watu! Leo kwa sababu wanaandamana waislamu unataka tusiseme tukisema tunawaonea waislamu! Watu wamevunja sheria na ilitangazwa mapema watakaogomea sensa watashitakiwa,leo wamekamatwa mnaandamana waachiwe kivipi? si msubiri kuwatetea mahakamani? Acha kufikiri kwa akili za kuazima unapoamua kudhibiti maandamano hauwezi kudhibiti kwa kubagua eti wakiwa CCM waache,wakiwa Waislamu waache,wakiwa CHADEMA piga risasi!!