- Thread starter
- #21
Hueleweki kijanaMolemo n8 karai la Mbowe analitumia apendavyo
Hueleweki kijanaMolemo n8 karai la Mbowe analitumia apendavyo
Wewe bwashee ndio karai la mbege!Hujitambui kijana.Pole
Huyo Mbowe jana kaiambia Mahakama anaumwa dengue......leo anafanya sherehe ya kujikabidhi fomu.... Yaani Ufipa ni full comedy!
....unajidai huipendi CDM but kila dakika uko alert ku_respond kwa news zao, unapata tabu sana kijana!, na Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti CDM, uwaambie na wenzako lumumba.Wewe ndio unatia kinyaa kukaa ndani ya kaptura ya Mbowe!
Unatakiwa kufanyiwa tohara ya akili Kama kukeketwa,, nyambafuuuuu.Wewe ndio unatia kinyaa kukaa ndani ya kaptura ya Mbowe!
Hukumuona jana?Mbowe amepona?
Afadhali umemweleza ukweli huo mchungu....unajidai huipendi CDM but kila dakika uko alert ku_respond kwa news zao, unapata tabu sana kijana!, na Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti CDM, uwaambie na wenzako lumumba.
Asante sana mkuuHizo ndio athari HASI za kulirithishwa uchawi mapema sana.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio unatia kinyaa kukaa ndani ya kaptura ya Mbowe!
Umempa za uso mkuuMkuu johnthebaptist kwani shida yako ni nini....harusi si yako kwa nini unaivalia shela..
Ndio nami nashangaa. Kumbe aliidanganya mahakama kuwa anaomba apumzike kumbe anaenda kufanya komedi ya kuchukuliwa fomu (Kama Mzee Amir Bamchawi?). Naishauri mahakama aidha imwite kesho mahakamani aendelee na kesi au afutiwe dhamana kabisa! Mahakama haichezewi!Huyo Mbowe jana kaiambia Mahakama anaumwa dengue......leo anafanya sherehe ya kujikabidhi fomu.... Yaani Ufipa ni full comedy!
Hahahaaa..........!Mbowe Mkiti
Mwalimu Salimu Makamu Mkiti
Jacob BONIFACE Katibu mkuu
Halima Mdee Bawacha
Mdude Chadema Bavicha
John Heche Katibu uenezi maana mnyika haeleweki kwa sasa
Hapo ccm lazima iombe pooo
Mkuu ruzuku ya mil 326 kila mwezi wanayolipwa Chadema na kodi za wanaccm zimo......usisahau hilo!Mkuu johnthebaptist kwani shida yako ni nini....harusi si yako kwa nini unaivalia shela..
Mkuu ruzuku ya mil 326 kila mwezi wanayolipwa Chadema na kodi za wanaccm zimo......usisahau hilo!
Vipi mmeshamkabidhi Mangi hiyo fomu?!!
Wameshayafanyia kazi mengi tu mkuu!Kwa hiyo unataka kuwapangia CDM nani wa kuchukua fomu na nani aache, nani achaguliwe na nani aachwe? Walishawahi kufanyia kazi mapendekezo yako mkuu?