Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,806
- 18,786
Wakuu ni siku ya tatu sasa mtaa ninaokaa huku Kimara umeme unakatwa masaa 8 Hadi zaidi kwa siku
Nauliza ni mtaa wa kwetu tu ama Ni sehemu nyingine? Isije ikawa Ni mgao wa umeme umeanza kimyakimya
Nauliza ni mtaa wa kwetu tu ama Ni sehemu nyingine? Isije ikawa Ni mgao wa umeme umeanza kimyakimya