beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Baraza la Taifa la usimamizi na hifadhi ya mazingira NEMC limefunga kiwanda cha Unga na nafaka cha Twenty 21 First Centuary kilichopo Sinza Dar es Salaam sambamba na kutozwa faini ya shilingi milioni 35.
Baraza hilo limefikia maamuzi hayo sababu kiwanda hicho kimejiendesha kwa zaidi ya miaka kumi bila cheti cha tathimini ya athari ya mazingira kinyume cha sheria huku kikimwaga vumbi kali kwenye makazi ya watu.
Baraza hilo limefikia maamuzi hayo sababu kiwanda hicho kimejiendesha kwa zaidi ya miaka kumi bila cheti cha tathimini ya athari ya mazingira kinyume cha sheria huku kikimwaga vumbi kali kwenye makazi ya watu.