luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Yupo mmoja analea mariooo, yaan anawabadilisha kama pichu ila ajabu kila mwaka marioo wake mmoja ana tangulia kwa MAULANA,Akijitokeza mother mstaafu tena kama huyo nishtue mkuu nahitaji kuuona ufalme wa maisha mazuri siunajua Chief Hangaya kakaza? Hakuna hela wala nn bora niwe Marioooo.
Vipi niku connect nae ?