BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,033
- 3,944
Hahahaa, mkuu Sam umeua hapo...kushinda hata tukio lenyewe! Ati hadi Usiku ugeuke mchana!!!
Mwanaume rijali kulinda heshima na hadhi yako ni jambo la kwanza kabisa katika maisha. Na kuilinda heshima hadhi na urijali wako pale unapochezewa ni budi ufanye tukio la kipekee. Huyo jamaa kawakilisha wanaume wa kweli na wasiotaka utani. Mimi nimo katika kundi hilo! Fanya tukio hadi usiku ugeuke kuwa mchana