Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,171
- 3,893
Kutokua na chakufanya wakati una mafunzo ya kijeshi ni hatari kuliko kukutana na chui
Polisi wanapokuwa waasi wanaleta shida sana. Uzuri wanajua hatma yake ni nini
Kutokua na chakufanya wakati una mafunzo ya kijeshi ni hatari kuliko kukutana na chui
Kwamba lini maisha yalikuwa rahisi na ujambazi haukuwepo?Maisha yamekuwa magumu kiasi hiki dah
The wages of sin is death
Mkoa wa kipolisi.Mkoani kinondoni. Hongera jeshi la polisi
Hii Dunia haiwezi kutuliaKuna matatizo makubwa katika vetting kupata vijana wanaoingia vyombo vyet vya ulinzi na usalama
Hii inaashiria kuwa CCM haifai imeshachoka haiwezi kumkomboa mtanzania,chanzo kimojawapo cha uhalifu ni hali mbaya ya wananchi kiuchumi.Ujambazi haujaanza leo, hata kipindi Cha Mzee wa ruksa walikuwepo, pia kwa jakaya walikuwepo!
Hongera Sana Raisi Magufuli.Duh, safari hii majambazi watafute kazi nyingine. Naona ni mwendo wa risasi tu.
Hii taarifa nina walakini nayo! Mbona jeshi la polisi halijatoa number za ajira za hao majambazi ili wanaowafahamu wawajue na kuwatambua vizuri?
Ubishi mwingine hauna faida, ulishawah kuona wapi askari anatambulishwa kwa raia kupitia namba ya ajira, au ni lini uliona siro au mabeyo katambulishwa kwa force number...???Hii taarifa nina walakini nayo! Mbona jeshi la polisi halijatoa number za ajira za hao majambazi ili wanaowafahamu wawajue na kuwatambua vizuri?
Muda huu skandal yoyote inaweza kutengenezwa kuonesha ushirikiano wa hali ya juu wa jeshi la polisi kufunika gap kati ya jeshi la polisi na wananchi.
Jiulize.....
Wametoa wote no zao zinaanzia na F, nimeona taarifa ya habari ITV saa 2Hii taarifa nina walakini nayo! Mbona jeshi la polisi halijatoa number za ajira za hao majambazi ili wanaowafahamu wawajue na kuwatambua vizuri?
Muda huu skandal yoyote inaweza kutengenezwa kuonesha ushirikiano wa hali ya juu wa jeshi la polisi kufunika gap kati ya jeshi la polisi na wananchi.
Jiulize.....