DAR: Jeshi la Polisi Kanda Maalum kuwachukulia hatua kundi la kisanii la Orijino Komedi

Hivi zile movie za Wazungu huwa wanatumiaje sare za kijeshi au polisi? au unakuta wanatumia vifaa vya kijeshi kabisa hadi ikulu, pentagoni au makao makuu ya CIA yanaonekana kabisa
wanatumiaje aisee

Mkuu USA mavazi ya kijeshi Au yanayo fanana yanauzwa katika maduka maalum yanaitwa"military surplus store" mtu yeyeto anaweza nunuwa Na kuvaa ila usiseme Wewe ni mwajeshi Au kupata urahisi Ktk maisha Mfano
Kupata dili Au nusu bei ya kitu kwa sababu ya uwanajeshi ukikamatwa Wewe ni jela tu.

Chanzo:Google
 
Mkuu USA mavazi ya kijeshi Au yanayo fanana yanauzwa katika maduka maalum yanaitwa"military surplus store" mtu yeyeto anaweza nunuwa Na kuvaa ila usiseme Wewe ni mwajeshi Au kupata urahisi Ktk maisha Mfano
Kupata dili Au nusu bei ya kitu kwa sababu ya uwanajeshi ukikamatwa Wewe ni jela tu.

Chanzo:Google
Ni kweli usemacho
TZ wanakataza hata kuvaa tu
Hiyo hapana
Wangefunga watu wanao danganya kama ni watu wa dola hapo ningeelewa sababu hata nchi zilizo endelea zinawafunga watu kama hao

Lkn kukataza kuvaa nguo Ni upuuzi
 
Ccm ina wenyewe kuipigia kampeni yote hadi kuwakejeli wengine na komedy zao haya sasa ....ndiyo watie akili

Ova
 
Kwa sheria za namna hii, wasanii watu hawataweza toa Movie zenye kuonyesha uhalisia wa mambo, maana wakitaka kuigiza upolisi au ujeshi itabidi waigize kwa kutumia nguo za kawaida na hii inabunguz mounekano wa uhalisia. Mimi nafikiri katika usanii kungekuwa na utaratibu wa kuomba kibali na kibali hicho kutolewa kwa lengo la kutengeneza movie au Comedy, etc. Na marufuku iwe kuvaa katika mazingira ya kawaida. Mbona nchi zilizoendelea katika tasnia ya filamu kama vile India na Marekani waigizaji wao huigiza na nguo za kijeshi? na si hizo tu hata bendera ya taifa na nembo nyingine za taifa unakuta zimetumika. Kwa hapa kwetu kufanya hivyo itakuwa ni sawa na kukufuru.
 
Wakiigiza wavae rangi zingine,masanja alikuwa Kama ndiyo igp hadi kupigiwa salute....
Kwa sheria za namna hii, wasanii watu hawataweza toa Movie zenye kuonyesha uhalisia wa mambo, maana wakitaka kuigiza upolisi au ujeshi itabidi waigize kwa kutumia nguo za kawaida na hii inabunguz mounekano wa uhalisia. Mimi nafikiri katika usanii kungekuwa na utaratibu wa kuomba kibali na kibali hicho kutolewa kwa lengo la kutengeneza movie au Comedy, etc. Na marufuku iwe kuvaa katika mazingira ya kawaida. Mbona nchi zilizoendelea katika tasnia ya filamu kama vile India na Marekani waigizaji wao huigiza na nguo za kijeshi? na si hizo tu hata bendera ya taifa na nembo nyingine za taifa unakuta zimetumika. Kwa hapa kwetu kufanya hivyo itakuwa ni sawa na kukufuru.
 
Ni kweli usemacho
TZ wanakataza hata kuvaa tu
Hiyo hapana
Wangefunga watu wanao danganya kama ni watu wa dola hapo ningeelewa sababu hata nchi zilizo endelea zinawafunga watu kama hao

Lkn kukataza kuvaa nguo Ni upuuzi
Ukimruhusu mwanafunzi atumie kalamu nyekundu ni upambav mkubwa
 
upepo tu wamuda na tutasahaututaendele a kufaidi comedy zao...iko wapi ya kukjoza..ikaja sijui nini..ikapita.yakaja mengine watu tukasau..kila siku mambo mapya yaibuka
 
Hivi polisi zaidi ya kukamata na kushtaki ni HATUA GANI ZAIDI wanaweza kuchukua!?
 
Hawa wasanii wa chama pendwa ccm, wala hawatachukuliwa hatua yoyote, huu ni ujumbe tu kuwa waache na wengine wasijaribu., lakini hatua KALI za kinidhamu wachukuliwa hawa never.
 
maxresdefault.jpg




images.jpg



IMG_3925.jpg



PATH FINDERS
 
Wanachofanya Polish kina add value ? Tanzania ni nchi ya ajabu sana.Kuna priorities ambavyo kama jeshi wanapaswa kuzipa kipaumbele.Uendeshaji mbovu wa magari hasa mabasi , magari yasiyostahili kuwa barabarani,Ujambazi,Madwa ya kulevya n.k Ukienda nchi za wenzetu kwenye ma studio ya picha utakud magari ya polisi,uniform za kijeshi na mengine kwa ajili ya uigizaji.Inawezekana hawa being waigizaji wana nguo za aina nyingi ikiwemo hizo za jeshi.Sasa ikitokea wanaigiza kama masheikh au wachungaji basi tusikie sijui taasis za kidini zinashitaki.Naona watu wanatafuta cheap popularity
 


View attachment 382631
Jeshi la Polisi Kanda Maalum kuwachukulia hatua kundi la kisanii la “ Original Comedy” kwa kuvaa mavazi yanayoshabihiana na sare za polisi.

Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Polisi, Advera Bulimba ameeleza kuwa wanatoa onyo kali kwa mtu ama kikundi chochote kuacha kutumia mavazi yanayofanana na sare zinazovaliwa na majeshi ya ulinzi na usalama hapa nchini na atakayebainika hawatasita kuchukua hatua kali za kisheria dhidi yake.
View attachment 383162
Hii hapa chini ni moja ya vichekesho walivyofanya wakiwa wamevaa nguo zinazodaiwa ni Sare ya Polisi.

these guys, original comedy are so Awesome!!!!! they made a day of their buddy superrrrrr!!!!
 
Suala hapa ni nini nguo uniform au nini ? Hawa ni wasanii na wamevaa hizo nguo wakiwa katika usanii. Kayika acting kuna wanao act kama wezi na majambazi jeee na hao polisi watakamata na kuwahoji kuwa kwanini wame act majambazi ?
Kuna wengine wana act kuwa police na wengine majeshi. Ni usanii... Tutafautishe kati ya usaniina kuvaa hizo nguo kazini au mpirani au kutembea njiani...
Hawa wamevaa wako kwenye acting hawana kosa..polisi itambue na kuoima vitu kwa maana halisi . Sio kila kitu wanfanya kwa pupa kwa sababu mitandao ilisema hilo jambo na wao wanakufukupuka.
Hivi polisi wetu hawaoni sinema za wenzetu wana act ma kutumia sare halisi za FBI, CIA na hata zana za kivita halisi kama ndege na vifaru...na sare pia....
Zile sinema za kihindi Bollywwod hutumia sare za polisi halisi kabisa..ni jambo la kawaida na hata jela hutumia halisi katika ku act...

Sisi tuna nini cha kufichaau kukifanya kitakatifu kiasi hicho.

Na pia hivi inakuwaje nao askari wanakua kazini na wameshika SMG lakini wapo katika nguo za kiraia jee hilo sio tatizo ? Tena wapo kazini ? Akija kukukamata na nguo za kuraia si utamuoana ni jambazi ? Basi na nyinyi mapolisi musivae nguo za uraia mukiwa kazini maana munatuchanganya
 


View attachment 382631
Jeshi la Polisi Kanda Maalum kuwachukulia hatua kundi la kisanii la “ Original Comedy” kwa kuvaa mavazi yanayoshabihiana na sare za polisi.

Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Polisi, Advera Bulimba ameeleza kuwa wanatoa onyo kali kwa mtu ama kikundi chochote kuacha kutumia mavazi yanayofanana na sare zinazovaliwa na majeshi ya ulinzi na usalama hapa nchini na atakayebainika hawatasita kuchukua hatua kali za kisheria dhidi yake.
View attachment 383162
Hii hapa chini ni moja ya vichekesho walivyofanya wakiwa wamevaa nguo zinazodaiwa ni Sare ya Polisi.



HIVI POLISI SIKU HIZI HAKUNA LAWYERS? WANASUKUMA TU ? HEBU ANGALIENI HII SHERIA NA HIO SECTION WANAYO SEMA ?


178.—(1) Any person who, not being a person serving in the

Armed Forces of the United Republic or in any police force established by law, wears

without the permission of the President the uniform of any of those forces or any dress

having the appearance or bearing any of the regimental or other distinctive marks .of

such uniform is guilty of misdemeanour, and is liable to imprisonment for one month or

to a fine of two hundred shillings:

Provided that nothing in this section shall prevent any person


from wearing any uniform or dress in the course of a stage play


performed in any place in which stage plays may lawfully be


publicly performed, or in the course of a music-hall or circus


performance, or in the course of any bona fide military representation.


Hio Section 178 inatoa excemption kama maandishi ya blue..walichofanya polisi ni uonevu na ze comedy wanaweza kufungua madai ya udhalilishaji...
 
Wakiigiza wavae rangi zingine,masanja alikuwa Kama ndiyo igp hadi kupigiwa salute....[/QUOTE
Wakivaa rangi zingine maigizo yao hayatatoa uhalisia wa upolisi. Kumbuka katika maigizo muonekano wa uhalisia una nafasi kubwa sana katika kuamua ubora wa filamu. Halafu ni kwanini nguo za Polisi na jeshi zionekane kuwa ni nguo "Takatifu" wakati wanaozivaa wengine ni wezi na wala rushwa wakubwa. Wengine ni malaya wa kupindukia. Hizo nguo ni nguo tu na wala hazina utakatifu wowote kama wanavyoamini hao wanaozivaa.
 
wasanii kazi yao ni kufikisha ujumbe kwa jamii kwa fasihi yao. na nchi kibao wasanii huvaa uniform yoyote, kuanzia ya mrisho mpoto- pekupeku - mp[aka boots za jeshi kutegemea na maudhui ya ujumbe wao. mie sioni shida maana wanafahamika na sio kila wakati wanavaa mitaani, bali wakati wanaigiza tu. hawajatishia mtu. so police wawachane nao
 
Back
Top Bottom