Mkandarasi; Mheshimiwa mtukufu, mradi unaenda vizuri kulingana na ratibu hivyo tunategemea kuukabidhi kama ilivyopangwa Decemba mwakani.Uwanja uliwahishwa ili mpenda sifa mmoja pate kiki,ilikuwa ukabidhiwe na mkandarasi mwakani sio mwaka huu.
Ila nadhani hili tayari ni tatizo... Juu kunavuja chini tayari pametitia dalili za compaction kutofanyika katika viwango vinavyotakiwaMi sio MZALENDO ila we jamaa bonge la bwege,
mradi ukimalizika na kukabidhiwa kuna kipindi kwenye mkataba cha uangalizi wa mkandarasi.
Ukiweka "ukada" na "ufia dini" pembeni dada yangu,huwa unatumia kichwa kufikiri na si kuvalia mitandio.Inasikitisha.
Mi sio MZALENDO ila we jamaa bonge la bwege,
mradi ukimalizika na kukabidhiwa kuna kipindi kwenye mkataba cha uangalizi wa mkandarasi.
soma mstari wa pili
Vitu vya kawaidia kwenye mradi na mkandarasi anakua hajalipwa pesa yote hadi mambo kama haya yakilegebishwaMungu hamfichi Mnafiki
NSINGEKUFAUngeandika huo mstari wa pili usioeleweka bila kuita mtu bwege ungekufa?
Ki ya SADCUwanja uliwahishwa ili mpenda sifa mmoja pate kiki,ilikuwa ukabidhiwe na mkandarasi mwakani sio mwaka huu.
Kwa nani sasaHiyo clip ingetumwa magogoni siyo jf.
mbona jambo la kawaida... "ENgineers are not always perfect so does the rest of the people "
Mkuu! JF ni zaidi ya Magogoni kwani humu wa Magogoni wamo na wengine wamo pia. Hapa ndo mahala pake.Hiyo clip ingetumwa magogoni siyo jf.