Ni kweli uandishi very poorNipashe ndiyo wanaandika kiugorougoro namna hii siku hizi!!!? Wako wapi waandishi wa uhuru ya miaka ya 70!!
Theory nyingi hapo yawezekana kijana alikuwa akifanya mapenzi na huyo Mama wamejifungia ndani mume kurudi akagonga akakuta hawafungui kwa kunogewa akaruka ukuta akachungulia dirishani akawakuta live kijana akatoroka kwa kuruka ukuta mume akanyonga mkewe na kusingizia kijana au aweza kuwa aliua wote kijana na mke kijana akamficha kwingineAtakuwa kasepa na pesa za mafao
Bora hgUkiajiri hausgel tabu. Dingi anamezea mate.
Ukiajiri hausboy tabu, wizi n.k
Wengine tumeamua hatutaki house help aina yoyote.
Kaka humuogopi ibilisi?Bora hg
Unajimilikisha ila mother house asijue ila inapendezaga na kunawiri kuliko mother houseKaka humuogopi ibilisi?
Mi hausgel ikinawiri inakuaga mitihani. akitoka kuoga amevaa khanga nyumba nzima inatingishika kuanzia vijana, mother house mpaka dingi.
Unajuaje alikuwa hafanyii ujuzi wake...kustaafu no kuacha kuajiriwa,haimaniishi kuacha kufanya kaziHuu umri wa kustaafu uangaliwe tena. Mkunga wa miaka 56 uzowefu wake wa kazi unaweza kuwa msaada mkubwa katika jamii pia kuwafundisha wakunga wapya.
Amestaafu kwa hiari huyo. Kuanzia miaka 55 unaweza kustafu kwa hiari.Huu umri wa kustaafu uangaliwe tena. Mkunga wa miaka 56 uzowefu wake wa kazi unaweza kuwa msaada mkubwa katika jamii pia kuwafundisha wakunga wapya.
Kaliua, Oscar Oscar Mzee wa Kaliua tunaomba msaada
Zinakuwa BenkiAtakuwa kasepa na pesa za mafao
Kustaafu kwa mujibu wa Sheria=60Huu umri wa kustaafu uangaliwe tena. Mkunga wa miaka 56 uzowefu wake wa kazi unaweza kuwa msaada mkubwa katika jamii pia kuwafundisha wakunga wapya.
Sasa mother house anatingishikaje Jamani?Kaka humuogopi ibilisi?
Mi hausgel ikinawiri inakuaga mitihani. akitoka kuoga amevaa khanga nyumba nzima inatingishika kuanzia vijana, mother house mpaka dingi.
Wapi huko?Huku kwetu kwa lazima ni 67, boss wangu ana 60 ananiambia asubuhi akili inataka atoke kitandani lakini mwili huwa hautoi ushirikiano.
Sasa nn hujaelewa hapoAliyeelewa hapa atufafanulie uhususiano wa hao watatu
Kuna house boy
Cecilia
Baba ambaye ni mume na huyo kijana
Akimuona mzee anavyojifanya haangalii Ile mitetemo ya matackleSasa mother house anatingishikaje Jamani?
Akimuona mzee anavyojifanya haangalii Ile mitetemo ya matackle
Inawezekana sana, huyo mume wa marehemu ahojiwe vizuri au uchunguzi wa kina unahitajikaTheory nyingi hapo yawezekana kijana alikuwa akifanya mapenzi na huyo Mama wamejifungia ndani mume kurudi akagonga akakuta hawafungui kwa kunogewa akaruka ukuta akachungulia dirishani akawakuta live kijana akatoroka kwa kuruka ukuta mume akanyonga mkewe na kusingizia kijana au aweza kuwa aliua wote kijana na mke kijana akamficha kwingine
Hili la kuficha jina la huyo kijana Lina ukakasi wamtaje tu