mjanja wa kijiji
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 1,469
- 4,081
kuna muda hata wao wanashindwa watabiri vipi, wakisema mvua itanyesha kwa siku 3 siku hiyo hiyo inakata kunyesha, wakisema mwezi wa 5 hakutakuwa na mvua basi mwezi wote huo mvua zitanyesha mfululizo.