Abdallahkova
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 1,154
- 1,127
Kwanini usiwashauri hao wanaotumia nguvu nyingi ,pesa zawananchi. Acha kufikiri kwakutumia makalio. Pia acha kushabikia dhambi zawatu, wao wanamaslahi nahayo mateso wanayowapa wenzao,ningekua na uwezo wa kuwashauri Chadema ningewashari waache kushindana na serikali maana muda ambao wangetumikia wananchi wao wanautumia mahakamani na magereza kitu ambacho hakitawaletea faida yoyote
wanalindwa wanaishi maisha mazuri duniani hata kama kuna maisha mengine wao hawana habari nayo. Ila kama naww unamaslahi nakutesa watu ,kufunga watu endelea ndo maisha mlochagua.
Sent using Jamii Forums mobile app