Dar HAKUKALIKI

kuna watu mnauweza huo mji, mie nikija huko naomba kinachonileta kiende sawa nirudi kwetu njoro. huo mji una wenyewe aisee.
 
Labda sio Bongolanda

Ngoja 2one Mama Tibaijuka atakuja na lipi jipya kutokana na Experience yake ya Huku Dunia ya 1 kwenye suala la Makazi
 
Huku NW USA
Giza mapeeema.
kisha Baridi lile la nguvu.
Taabu ni pale ulaliopo tanda kubwa la King Size.

yaani wewe uko Forodhani mwenzio yuko Picha ya Ndege kibahaaa!

Wakti wa Baridi Twin Bed ndo size yake huku wote tukiwa tumevali Birth day Suit kama pajama.
 
Hapo penye red/underlined ni mambo ya "night shift"?
umejuaje???

kutunza mazingira na kuepuka ujenzi holela joto litapungua
wakispare Nyumba ya Sanaa na kuheshimu mazingira yaliyosalia at least joto litapungua

Hivi JK hakuahidi kufunga AC kila nyumba?maana ahadi zilikuwa nyingi mno kuzikumbuka sasa
Aisee, naenda kupanga foleni ikulu aanze kufunga AC kwangu... lol

kuna watu mnauweza huo mji, mie nikija huko naomba kinachonileta kiende sawa nirudi kwetu njoro. huo mji una wenyewe aisee.
Ah nyama yao. huu mji sio wa kuchezea, ukisikia dar kuna baridi ujue unaweza hata kunywa soda inayotonatona wala usisikie hiyo baridi. just tanuri la kuokea mikate hili jiji. Tunaliweza ingawa kiranga tunakichezea
 
kuna watu mnauweza huo mji, mie nikija huko naomba kinachonileta kiende sawa nirudi kwetu njoro. Huo mji una wenyewe aisee.

nyamayao nipm tutaftane mie pia nipo huku hali ya dar huwa siiwezi nawashanga sana waishio huko. Na waje tu nafasi ipo hali ya hewa nzuri miti mingi
 
mbona hali ni shari tu Dar! India wamefikisha 48c Sudani nao wako juu yetu wala sijasikia wanalalamika! embu pita hapo posta ya zamani kuna jamaa anazunguka zunguuka hapo kavaa mjaketi mzito ajabu anasema ati kuna baridi!! Dar kuna vituko jameni
:teeth: Karibu sana Baitul Lahm joto leo liko 16c
 
Mnawasha moto, kisha mnaanza kuota, wahenga walisema dawa ya joto ni moto
umepinda wewe.
nyuzi joto 34 ongeza za kwako 36 unapata nyuzi joto 70. hebu chemsha maji yafikie nyuzijoto 70 kisha weka dumbukia humo uone mziki wake.
Hili joto nadhani limekosewa linapaswa kuwa jangwani na si huku kwetu.
 
kuna feni za kichina kariakoo, hazihitaji umeme wala gesi. 100% manual. nguvu ya mkono wako tu au jirani... zamani wakiita Vipepeo vya kizaramo, vilikuwa vikichorwa na kutiwa methali km "havinitishi!" "vingawaje" "nimeruzukiwa" "tutabanana humuhumu!" nadhani navyo vingaliko, vinasaidia kupunguza joto la mwili huku la kwapa likiendelea kutoka kwa kasi mpya :teeth:
 
mbona hali ni shari tu Dar! India wamefikisha 48c Sudani nao wako juu yetu wala sijasikia wanalalamika! embu pita hapo posta ya zamani kuna jamaa anazunguka zunguuka hapo kavaa mjaketi mzito ajabu anasema ati kuna baridi!! Dar kuna vituko jameni
:teeth: Karibu sana Baitul Lahm joto leo liko 16c
Umesema wasudani hawajalalama. ila angalia kama wana mtu ambaye ana rangi kama yako. wote wameungua na kubaki masizi. huko india tangu mtoto anazaliwa anazoea joto la kufa mtu. Hii dar ina hali ya hewa kama batiki vile yaani hapa rangi pale patch huku dye na kila uvundo
 
thanx god maisha ya kijijini kwetu hakuna adha hiyo..
shida yetu ni umeme ..kama huna koroboi ndo basi tena
 
kuna watu mnauweza huo mji, mie nikija huko naomba kinachonileta kiende sawa nirudi kwetu njoro. huo mji una wenyewe aisee.

Mama mie huwana nakuwa uncomfortable kabisa kuumwa si kuumwa maisha gani haya ..
Ama ndo tunatakiwa tukae mitaa ya Masaki
 
Back
Top Bottom