Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .

Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .

Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .

View attachment 1838235


UPDATES
============

Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki

View attachment 1838305
Mama kaza buti hawa wahuni hawana maana wanaongozwa na kubwa jinga ((TONDO) aka mzee MBOWE
 
Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .

Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .

Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .

View attachment 1838235


UPDATES
============

Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki

View attachment 1838305
Tumepata dikteta wa kwanza mwanamke?
 
Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .

Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .

Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .

View attachment 1838235


UPDATES
============

Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki

View attachment 1838305
siwanajifanya wanajuwa kumpangia mama majukumu ya kufanya sasa ana anza nao waone umuhimu wa kuwa na subira
 
Mama Samia kama ataruhusu huu upuuzi wa Polisi, asahau habari ya kufufua uchumi uliouawa wakati wa utawala wa Magufuli.

Lwbda aamue tu kama alivyofanya mtangulizi wake, yaani kuwa mwongo, kuendesha siasa za kilaghai, kuwadanganya wajinga kuwa uchumi wetu ni mzuri kuliko wakati wowote wakati ukuuaji ulikuwa ukiendelea kushuka.
 
Uonevu upi mkuu ?!!

Police kufanya kazi yao ?!!!

Kwani uwepo wa POLISI maeneo hayo unakutisha nini ?!!!

Kwani unadhani Serikali haiwezi kupata kinachoendelea katika mkutano wa BAWACHA mpaka uwepo wa hao POLISI?!!!

Kwanini uwe "annoyed"na uwepo wa walinzi wako wa amani ?!!!

Mama ni Rais....unataka aendeshe kama ALI HASSAN MWINYI NA NYERERE?!!!

Mh.Rais SSH yuko poa ila ni wasiwasi wenu tu.....
Basi Polisi waende hata kwenye vikao vya arusi. Tatizo watu wengi, hata ile common sense ni zero, uelewa wa sheria hakuna. Hivi unajua kuwa kuna rights of privacy?
 
RBC najua uko kazini hapo UFIPA....

Unaweza kumlaumu MAMA vile upendavyo....ila hata ingekuwa ni wewe....kwa hizi nchi zetu za kiafrika....ungepachikwa majina tu....

Eswatini kumeshawaka though it's not the same case as ours.....

KUBOMOA NCHI NI KAZI NDOGO TU KULIKO KUIJENGA

Uharo mtupu! Nchi haiongozwi kwa woga, hisia, matarajio bali sheria na taratibu! Kama wanavunja sheria wachukuliwe hatua!!

Ninyi mnaojaribu kuongoza nchi kwa dhuluma huwa mnafanya mambo kwa woga!! Kuonesha hili (kama ni kweli), angalia wakuu walivotupiana gunia la misumari - ni kwa sababu wanajua wanachofanya hakipo kisheria wala kitaratibu. Wanatafuta mtu wa kumtupia mzigo - bahati mbaya wamechangua Polisi kwa sababu wana silaha na namna ya kutumia nguvu!! Kama kungekuwa na sheria au taratibu barua ingekuja na majibu kutoka kwa aliyetumiwa kwanza na ikiainisha vifungu vya zuio. Ni nani anaweza kula chakula na kuongea katika dakika 30???

Kwa akili kama yako kweli tunajiuliza kwanini nchi imekwama???? Dhuluma right, left and center!!
 
Back
Top Bottom