Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,188
- 1,912
Bibi Samia ANAUPIGA MWINGI.
Tulieni hapo hapo!
Tulieni hapo hapo!
Mama kaza buti hawa wahuni hawana maana wanaongozwa na kubwa jinga ((TONDO) aka mzee MBOWEHii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .
Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .
Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .
View attachment 1838235
UPDATES
============
Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki
View attachment 1838305
Hahahahaaa... thubutu yenu!!!!!Mbowe anaogopeka alivyokuja tu Police wakakimbia wote
#MWAMBA TUVUSHE
Bawacha wameona mbali.. hawakutaka yawakute yaliyomkuta Mdude. Fikiria ukamatwe leo ijumaa ukalale selo mpaka j3, huku mke wa Mbowe akilala kwake na mume wake bila bughuza yoyote. Ni bora wamejiongeza kwa kukataa kutumiwa kama daraja la mwenyekiti na makamu wake.
Mama anaanza spana tartiiiibu.
Mjane ni mama yakomaskini mjane bado unalia tu
Mjane ni mama yako
Tumepata dikteta wa kwanza mwanamke?Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .
Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .
Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .
View attachment 1838235
UPDATES
============
Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki
View attachment 1838305
siwanajifanya wanajuwa kumpangia mama majukumu ya kufanya sasa ana anza nao waone umuhimu wa kuwa na subiraHii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .
Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .
Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .
View attachment 1838235
UPDATES
============
Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki
View attachment 1838305
ujinga mtupu nani awalilie nyie kengeAsije kumlilia mtu
Basi Polisi waende hata kwenye vikao vya arusi. Tatizo watu wengi, hata ile common sense ni zero, uelewa wa sheria hakuna. Hivi unajua kuwa kuna rights of privacy?Uonevu upi mkuu ?!!
Police kufanya kazi yao ?!!!
Kwani uwepo wa POLISI maeneo hayo unakutisha nini ?!!!
Kwani unadhani Serikali haiwezi kupata kinachoendelea katika mkutano wa BAWACHA mpaka uwepo wa hao POLISI?!!!
Kwanini uwe "annoyed"na uwepo wa walinzi wako wa amani ?!!!
Mama ni Rais....unataka aendeshe kama ALI HASSAN MWINYI NA NYERERE?!!!
Mh.Rais SSH yuko poa ila ni wasiwasi wenu tu.....
RBC najua uko kazini hapo UFIPA....
Unaweza kumlaumu MAMA vile upendavyo....ila hata ingekuwa ni wewe....kwa hizi nchi zetu za kiafrika....ungepachikwa majina tu....
Eswatini kumeshawaka though it's not the same case as ours.....
KUBOMOA NCHI NI KAZI NDOGO TU KULIKO KUIJENGA
Kwani wa Ubeleji anafanyaga hivyo? Ahahahahahahah!!!Wewe itakuwa unableed kupitia nyuma
Kwani wa Ubeleji anafanyaga hivyo? Kufi.rwa kama mimi ona navyojichekesha Mimi natoa ndogo na kubwa Ahahahahahahah!!!
Kama nimeandika Mimi, hiyo ni kazi ya mods. Na kama wanakubaliana na hacking in JF, sawa.Soma ulichoandika
Kama nimeandika Mimi, hiyo ni kazi ya mods. Na kama wanakubaliana na hacking in JF, wajinga sana sawa.
Ccm haijawahi kuwa mahala salama kiushindani
Kubwa jinga ni yule aliekuleta duniani kiumbe hasara kama weweMama kaza buti hawa wahuni hawana maana wanaongozwa na kubwa jinga ((TONDO) aka mzee MBOWE