DAR: Gari yatumbukia katika mto Msewe Ubungo

RUCCI

JF-Expert Member
Oct 6, 2011
1,701
1,714
13680736_1007619256002416_8360112291402266935_n.jpg

Mtu mmoja amenusurika kifo baada ya gari yake kutumbukia katika mto eneo la Ubungo Msewe kupitia Chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Mashuhuda wameziomba mamlaka husika kuweka alama katika mto huo kufuatia kuzingirwa na msitu.

Chanzo: ITV
 
Yani hiyo barabara ni mbovu kweli, kiujumla changanyikeni yote ukiach ile barabara ya chuo kikuu, zile barabara zinahitaji marekebisho ya kweli..
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom