Hiyo hiace ilikuwa inafanya nini huko? Yeye hakuona kama kuna gari inakuja? Akasubiri mpaka agongwe aende polisi?
Dar express kimeo siku hizi madereva wazembe ...wahudumu wanachakachua hadi soda za abiria
Umesahau kuwa wahudumu wa kike ukiongea nae vizuri ukifika Arusha au dar unakula mzigo na bei yao ni sh 15, 000 per night mpaka saa kumi na moja ili awahi kuamka kwenda kwenye basi kugeuza nalo kesho yake