kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Poleni sana!
Lakini ile gari huwa inakimbia ili iwahi Dar.
... Jibu lako linakatisha tamaa sana kabisa. Yaleyaleee
Poleni sana!
Lakini ile gari huwa inakimbia ili iwahi Dar.
Mkuu speed limit ni 80kph isipokuwa maeneo maalum kama vile kwenye vivuko vya watu/wanyama, vijiji ndo spidi inatakiwa iwe pungufu 50 au 30kph au pungufu ya hapo kutegemea na eneo husika.Sehemu za limit zinaonyeshwa na ni 50km/hr au 80km/hr..na zingine hakuna limit ni kukanyaga tu hivyo ni umakini wa driver na gari lake..
dar express ni basi zuri sana,hiyo ajali apo ni kawaida kama nyingine,bus zote uwa zinakimbia ni kuwa mwangalifu tu,uwezi jua labda uyo dereva apo ndio mzembe
Hiyo hiace ilikuwa inafanya nini huko? Yeye hakuona kama kuna gari inakuja? Akasubiri mpaka agongwe aende polisi?
afterall hiyo bus ni ya masafa marefu ni lazima itembee ipasavyo!kama hutaki speed ungepanda royal au meridian
hiyo Meridian inachimba hakuna kaskazini,labda Ngorika
Asilimia kubwa ya chanzo cha Ajali ni uzembe wa dereva na wahusika wa wa Basi lenyewe, tulijaribu kuwapigia simu maajenti wa Arusha wakasema kama ni Gari ya Robert (driver) huo ndio mwendo wake na wakenya ndio maana wanaipenda. Tuliriport kwa Inspector wao wa Same akamuonya ila baada ya kutoka Korogwe speed iliendelea na hatimae alipofika Mkata likatokea la kutokea na tulipowajulisha maajenti wa Arusha walichouliza kwanza ni kama gari lao limeumia sana badala ya kuuliza hali ya wateja wao. Huu ni mwanzo wa mwisho wa enzi ya Dar Express wanaandaa kaburi lao soon,siku chache zilizopita Benzi lao liliteketea lote kwa MOTO na mengine kila siku yanafia njiani,uzembe wa madereva na huduma hafifu ndani ya gari na mengineyo meengi ndio mwanzo wa mwisho wao
View attachment 69176
View attachment 69177
View attachment 69179
Hiace baada ya kugongwa na kurushwa zaidi ya mt tano na Dar express #T844 BDR
View attachment 69178
Dereva wa hiace Iliyogongwa hoi
Hivi kuna watu bado wanapanda hilo gari! hao Jamaa hawana utu kabisa. Ikitokea ukasizia, hata zile soda au maji inakuwa imekula kwako. Wajanja walishahama hapo siku nyingi.