green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,304
- 35,850
ule mzigo uliokamatwa kilwa sijui umeishia wapi da zilikua tani za kutosha i hope unapita tu manake ukiuzwa hapa nusu ya nchi tutakua mateja
Makonda alipowataja akina mbowe madawa yaliisha mno Dares salaamKwa kifupi ni kwamba sisi hatuna uwezo wa kupambana na huu mziki wa madawa ya kulevya
umwage hela mkuuCha ajabu wakikamata bangi kwa mbwembwe wanaita na makamera huku wakiyachoma
Ila wakikamata UNGA husikii tena habari yake na ushahidi hutauona tena
Ule mzigo ulikuwa mkubwa sana kwanini wasiumwage baharini?
umwage hela mkuu
lini ngada ilikuwa haipo mtaani untudanganyaEti yameanza kuuza upyaaaa .... eti hata wauzaji waliokimbia wamerudi upyaaaa ...... nasikia sasa ni kwa kasi ya 6G
mweeeee twinalyoooooo
Sitaki kuamini kuwa Mawazo ya Maisha magumu au Taabu uzipatazo duniani ndiyo zikufanye uwe ' Mdau ' wa Kutumia ama Dawa za Kulevya au kuwa ' Mlevi ' sana.Stress na illusions