Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,223
- 49,847
Duuh basi wacha tuendelee kujifukizaHii omicron inashambulia wanawake zaidi
Duuh basi wacha tuendelee kujifukizaHii omicron inashambulia wanawake zaidi
Ila hakuona kuwa Corona ingemwondoa
Dah mi nimetoka hospital leo , nna mafua, nimeumwa kichwa usiku mzima, ila vipimo vinaonesha siumwi malaria wala chochote
Acheni kujitia presuure, gongeni ma limao,pilipili, tangawizi jichanganyeni juani mpate vitamin D yakutosha baass
Mambo ya kujitia hofu ndio mnajisogeza kwny hatare
Wakati wa JPM watu wakiambiwa hakuna Corona kiivo wakawa wanasema JPM anaficha data…haya hayupo sasa watutajie wao hizo data za kutisha za wagonjwa