Lenin V.I.U
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 218
- 62
Wanajamvi msaada kwa anaejua kuhusu quality of education inayotolewa Dar es salaam University College Of Education (DUCE) vipi kinaweza kua ni miongoni mwa vyuo bora nchini?
Exactly,DUCE n chuo bora kbs as u know it's a constituent college of Udsm.Wana maprofx wa kutosha,lecture halls za ksasa kabsa,maadl yanazngatiwa,may be hoctel tu ndo tatzo.
Exactly,DUCE n chuo bora kbs as u know it's a constituent college of Udsm.Wana maprofx wa kutosha,lecture halls za ksasa kabsa, maadl yanazngatiwa,may be hoctel tu ndo tatzo.
Mkuu lugha unayoiandika hapa ni vyema ukaendelea kuitumia huko kwenye text massages
ila humu sio applicable !
Ukishindwa sana peleka facebook !
Nahisi umeeleweka mwalimu wa Mwandiko!