Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Au GombesuguYani umenikumbusha masuala ya mdundiko, vanga ,mtiriri,selo n.k. Natamani nikutane na mdundiko nijimwaemwae.
Au GombesuguYani umenikumbusha masuala ya mdundiko, vanga ,mtiriri,selo n.k. Natamani nikutane na mdundiko nijimwaemwae.
Au Gombesugu
Mwanangu lelo kodila kisamvu zogolo dangu wadiiba eehh
Kakajolo kangu wadiiba lelo kodila kisamvuuMwanangu lelo kodila kisamvu zogolo dangu wadiiba eehh
Dah..nasikia hasa ya kunyonger...elimu ile inapotea sasa kama wasipokuwa makini 🤣 🤣 🤣Kama hukuchezwa ulikosa sana, kuna mafunzo kule hakuna chuo chenye syllabus
Wazaramu wengi wameswagwa katikati ya jiji wamehamishiwa katika pori la mkuranga, ndio maana Ilala na kinondoni hayo mambo siku hizi hayapo.Kwa Dar wilaya ya Temeke bado haya mambo yanaendelea kwa kasi ila Kinondoni si sana
wanakazi yakujianika tu, hawa wangenyonyolewa kama kuku wasingekuwa wanakaa uchi hukoSiku hizi watu wako instagram
Hapana hazina mfumo dume kupitiliza bali ni binadamu ndo wanashindwa kutafsiri maandiko vizuri na kuyaelewa wanaishia kuelewa vile ambavyo wanataka wao iweSheria na amri za Mungu zinampa nani favour? Hivi hujui sheria za Mungu zina mfumo dume kupitiliza?
Kwahiyo mnataka wanawake wafundishwe jinsi ya kuvumilia uonevu wa waume zao kwenye ndoa si ndiyo? Kwani wanaume wanashindwa kubadilika na kuacha uonevu? Badala ya wanaume kubadilika na kuacha kuonea wake zao wanataka kulazimisha wanawake wakubaliane tu na huo uonevu waohiyo au hizo mila zinatoweka na ndiyo sababu unaona sasa au sikuhizi maadili katika ndoa hakuna na ndoa zinavunjika hovyo zamani kuvunjika ndoa ilikuwaga hakuna kabisa labda moja kwa elfu hicho walichokuwa wanakipata unyagoni hakuna gumu ambalo anaweza akaliona kwa mwanaume akashindwa kuvumilia hakuna sasa siku hizi hujampiga kibao wala nini ukamtukana tu mwanamke anadai talaka
Iwe uzashezigwa?Kama hukuchezwa ulikosa sana, kuna mafunzo kule hakuna chuo chenye syllabus
Tatizo hamtaki kujitathmini wanaume mnakosea wapi mnawaza kutupa lawama kwa wanawake tu tamaduni zilikuwa enzi hizo ambazo mwanamke anakaa nyumbani anafanya kazi za nyumbani na kulea watoto na mume na mwanaume anaenda nje anatafuta pesa na kuhudumia watoto na mkena ukimpata mwanamke aliyepitia hizo mila ndugu utafaidi ni wat***mu balaa wanajituma balaa sikuhizi mtu anakupangia mpaka siku za kuduuuaisee shida tupu siku hizi
sasa nipo kwenye 40's inawezekana? haki napenda nifundishwe mambo ya wakubwa hahaha maana nayajua kijuujuu sana.Kwa nini hukuchezwa na unapenda unaweza ukachezwa ukubwani haina tatizo,Mimi sikuchezwa kupigwa bila sababu ya msingi nani anataka 😀😀
Msungo ndio nini mhhKwahiyo wewe ni Msungo
Sky umekuwa mdingi kiasi gani hadi uandike kwa kutumia 'vioo'?Sometimes ninakuwa sina miwani
Hivi kuna tofauti kati ya 'kuchezwa' na 'unyago'?Ni kuendeleza mila kuna maudhui mtoto wa kike anapewa