Dar Es Salaam tumieni maji ya baharini, maji ni mengi sana yale

Hiltler alikuwa sahihi yaan anawapa Jews vifaa mbadala waunganishe walete output ukishindwa unakula shaba ya kichwa ...tungekuwa mbali Sana dhidi ya hizi akili mavi tulizonazo
 
Cost versus benefit ya kuya badili hayo maji ni matajiri peke yao ndiyo watao weza kuyatumia..
 
Hilo nalo ni la kulifikiria. Miji mingi mikubwa ya wenzetu hupata maji toka kwenye reservoirs. Lakini Dar wanategemea yanayoflow mtoni. Na karibu miji yote Bongo wanategemea hivyo. Walau Moro wana Mindu. Dar wangeweza hata kudam Ruvu au Wami na kusahau shida ya maji.
Water reservoirs zipo,mfano mojawapo ni ile dawasa ya mbagala (Nilishafanya field pale niliiona kwa macho)
 
Hivi Dar es Salaam na Pwani kuna water reservoirs ngapi? Maji ya mvua huwa kuna jitihada za kuyakusanya na kuyasafisha?

Uvunaji wa maji ya mvua tanzania bado sana, niliona kidogo nyumba baadhi newala wanavuna lakini kwa kiwango kidogo, tungefanya uvunaji kama nchi watu wakahamasishwa kujenga makaro kulingana na matumizi hasa kwa mwaka au miezi sita tatizo la maji lingekua ndoto Tanzania, serikali iwaelimishe wananchi kuhusu uvunaji na utunzaji wa akiba kubwa ya maji ya mvua ili baadae yatumike hata kwenye kilimo ni vile wanawaza tozo za simu
 
Water reservoirs zipo,mfano mojawapo ni ile dawasa ya mbagala (Nilishafanya field pale niliiona kwa macho)
Ni kubwa kiasi gani, bila shaka unakumbuka inachukua lita ngapi. Wenzetu huwa zinakuwa kama ziwa/bwawa.
 
Uvunaji wa maji ya mvua tanzania bado sana, niliona kidogo nyumba baadhi newala wanavuna lakini kwa kiwango kidogo, tungefanya uvunaji kama nchi watu wakahamasishwa kujenga makaro kulingana na matumizi hasa kwa mwaka au miezi sita tatizo la maji lingekua ndoto Tanzania, serikali iwaelimishe wananchi kuhusu uvunaji na utunzaji wa akiba kubwa ya maji ya mvua ili baadae yatumike hata kwenye kilimo ni vile wanawaza tozo za simu
Nilimtembelea binamu yangu anaishi kijijini. Nilimkuta ana simtank ya litre 10,000 amezungusha gutters bati lote. Ameweka umeme wa solar na ana mtungi wa gas kwa kupikia. Anasema kabla ya litre 10,000 hazijaisha mvua inakua imenyesha tena.
 
Nilimtembelea binamu yangu anaishi kijijini. Nilimkuta ana simtank ya litre 10,000 amezungusha gutters bati lote. Ameweka umeme wa solar na ana mtungi wa gas kwa kupikia. Anasema kabla ya litre 10,000 hazijaisha mvua inakua imenyesha tena.

Huyo ameendelea yuko level nyingine kifikra, watanzania wengi huishi kwa mazoea ndio tatizo huanzia hapo, kwa mfano maji yaliyopo Tanzania haina sababu ya kuacha kufanya umwagiliaji mkubwa lakini kila kitu ujanjaujanja tu,
 
Huyo ameendelea yuko level nyingine kifikra, watanzania wengi huishi kwa mazoea ndio tatizo huanzia hapo, kwa mfano maji yaliyopo Tanzania haina sababu ya kuacha kufanya umwagiliaji mkubwa lakini kila kitu ujanjaujanja tu,
Ulaya pembeni ya barabara za highway zote zina mifereji ya kukusanya maji , reservoirs wanazo nyingi hayo maji yanasafishwa na kuwa pumped kwa matumizi.
 
Hivi Dar es Salaam na Pwani kuna water reservoirs ngapi? Maji ya mvua huwa kuna jitihada za kuyakusanya na kuyasafisha?
Kuna wakati nikiwa katikati ya mji hapa Arusha tulinaswa na mvua ya kisawasawa...kwa takribani saa mbili tukiwa tumejibanza kwenye baraza ya moja ya duka pale Uhuru road.

Nikawa naangalia ule wingi wa maji yanayopita kwa kasi mbele yetu...ingawa mimi si Mwana hisabati lakini nilijaribu kukadiria lita za maji yayopita usawa ule tu tuliokuwepo hakika yalikuwa ni mamia ya lita za maji kwa sekunde...yaani kama tungekinga tanki la lita milioni moja pale lingejaa ndani ya saa moja kama sio dakika arobaini au nusu saa.
 
Ulaya pembeni ya barabara za highway zote zina mifereji ya kukusanya maji , reservoirs wanazo nyingi hayo maji yasafishwa na kuwa pumped kwa matumizi.

Hivi unakumbuka uliwahi kueleza kujenga ghorofa ni land management kwa walioendelea ilihali kwetu bado tunaona ghorofa ni ufahari, sasa nchi ambayo kumiliki iphone macho matatu mtu anaona ni ufahari unadhani uelewa wao ukoje, pima hapo chombo cha mawasiliano unakigeuza kua ufahari hata kupiga picha kwa kujionesha ili watu waone simu hii jamii level of thinking iko chini sana
 
Kuna wakati nikiwa katikati ya mji hapa Arusha tulinaswa na mvua ya kisawasawa...kwa takribani saa mbili tukiwa tumejibanza kwenye baraza ya moja ya duka pale Uhuru road.

Nikawa naangalia ule wingi wa maji yanayopita kwa kasi mbele yetu...ingawa mimi si Mwana hisabati lakini nilijaribu kukadiria lita za maji yayopita usawa ule tu tuliokuwepo hakika yalikuwa ni mamia ya lita za maji kwa sekunde...yaani kama tungekinga tanki la lita milioni moja pale lingejaa ndani ya saa moja kama sio dakika arobaini au nusu saa.
Kwanza mifereji yetu ya barabara iko wazi, licha ya hari ya watu kutumbukia na kuumia pia inajaza uchafu. Ile mifereji ingeelekezwa kwenda kwenye reservoirs mbona ni maji mengi sana tunapoteza.
 
Back
Top Bottom