Dar es Salaam: Rais Samia Suluhu Hassan azindua Kiwanda cha Ushonaji cha Jeshi la Polisi

Safi mama piga kazi, huku kwenye siasa bado kidogo turekebishie watu wanateseka magelezani kisa siasa !! ilifikia kiwango ukisema wewe ni mpinzani basi shimo la tewa ni halali yako, unahukumiwa mateso au hata kifo ukiwa unajiona huku ukiacha familia yako ikiteseka - tulifika pahala pabaya mno.
 
Wakati Mpango anateuliwa kuwa Makamu wa Rais, ni kama alitaka kupandisha mabega na kuingiza mfumo wa kiafrika wa "Mwanaume Ndie Kichwa cha Familia" hapa familia ikiwa ni Ikulu!

Kwa speed na matendo haya SSH ya kukaba kila mahali, ni kama anajaribu kumuonesha Phillip Mpango nafasi yake ni ipi hasa... manake inaelekea Mpango alidhani hata zile routes kama za KE na UG, huenda angezipiga yeye!!
ukute mkeo hata kwenye sex anakaa juu na bado unajisifu...mfumo dume ni mfumo hadi vitabu vya dini we feminist...usipelekwe pelekwe na waliberali
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
Mkuu nchi hii unaweza ukafa kwa moyo ukiishupalia sana. Kuna muda mimi nilifika nkasema Mungu kanibariki na kakipato kangu naweza tunza watoto wangu na naweza kula inatosha kujibebesha mizigo mizito kichwani. Yaani tunarudi nyuma sana, tulikokuwa tumeshinda. Mimi huwa naangalia facts na si maneno. Naona tunarudi walikotoka wenzetu. Tunashikiwa akili. Sipingi Chanjo kwa haraka haraka kwasababu hata Serikali ya Rais Magufuli ilisema mpaka wajiridhishe kwanza. Sasa tumeshajiridhisha?

Mimi kitu ambacho kilikuwa ni kilio changu ni kwamba tuliacha kunawa mikono kama ilivyokuwa lazima pale Mwanzoni. Na kujazana kwenye makumbi na sehemu mbalimbali. Mimi niliumwa corona. Ilinitesa sana for a month. Tahadhali tusiache na pia tusiache elimisha wananchi wetu ila tusiwapanikishe. Approach ya JPM kipindi kile ilitusaidia sana kunusuru uchumi wetu.

Mimi nina mtazamo ufutao, Serikali ikazane kuongeza Budget ya Tafiti za Magonjwa kama mataifa makubwa yalivyo. Tuanze na Sisi. Cuba licha ya kuwa ni taifa dogo, ila lina madaktari bingwa sana ambao wametawanyika Duniani kupigana na Covid 19. Walienda mpaka Europe, South Africa pia.

Kama tunataka kujitegemea kweli tuanze kukazana na vituo vya tafiti vya magonjwa ya Binadamu. Serikali iwe na mpango kabambe. Inatakiwa siku itokee Gonjwa fulani likitokea na sisi tunaiambia dunia tumegundua kitu fulani. Inawezakana, tuanze kidogo, wajukuu wetu watakuja kutupongeza.

Nchi yetu tafiti za mambo mengi zipo nyuma sana. Professor Muhongo, alisema bila kufanya tafiti hatuwezi fanya fanikiwa mambo mengi.
Tafiti za kuhusu uchumi ni hafifu, Dawa ni hafifu, tafiti za elimu ni hafifu, tafiti za biashara ni hafifu, tafiti za kuhusu kodi ni hafifu, tafiti kuhusu Demokrasia ni hafifu. Kila kitu ni hafifu bado.

Kama taifa tukubali kuanza chini kwa kutenga Bajeti za Tafiti, kama tulianza tuongeze bajeti. Polepole tutafika huko. Tusipende kutafta majibu rahisi rahisi tu. Tuumize vichwa.

Tanzania yetu tunakupenda kwa moyo wote. You are our mother land.
 
Back
Top Bottom