Dar es Salaam ni Mkoa wenye wazawa washamba kuliko Mikoa yote Tanzania...

Na kweli ni washamba haswaaaaaaaaaaaaaa
tapatalk_1569138283803.jpeg
 
Kifupi huwajui watu wa Dar na Pwani.

Nitafutie ombaomba mmoja tu wa mikoa ya Pwani au mwenyeji mzawa makabila ya Dar es Salaam.

Ombaomba wote wanatoka bara. Vichaa na mateja wote walioko Dar ni watu wa mikoani.
Kariakoo kila ijumaa kuna wabibi wa kizaramo na kikwere huja kukusanya mapato,unasema wale wagogo wale?

Siku hizi huu ujinga wameuambukiza kwa mabinti zao,utamkuta na mtoto mgongoni eti ooh naomba msaada,ukapigwe pvmbv kwenye ngoma uzalishwe kisha uje kwangu kutaka msaada mie huwa naawambia njoo umekatika mguu au mkono nitakusaidia siyo uje mzima umekamilika viungo.
 
Wakuja bhana siku zote huwa wanakuwa na Inferiority complex dhidi ya wazawa so hizi kauli ni za kujifariji tu ili kubalance mitizamo dhidi yao...hakuna sehem bongo hii kama Dar..













Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Morogoro
 
Habari,

Kazi kubwa ya hawa wazaliwa wa dar ni vigodoro, kucheza drafi na bao, na kutembea barabarani na ngoma wakikusanya hela za kigodoro. HAWAPENDI SHULE, WALA KAZI. Wanamiliki maeneo makubwa lakini wanauza na kubaki masikini na kisha kuhamia maporini, sasa wamejazana kibaha na bagamoyo.

HAWAJAWAHI KUPANDA GARI ANGALAU KUTOKA NJE YA DAR, usafiri wao mkuu ni GUTA, na BODABODA.

Utafiti mdogo unaonesha haya makabila ya hawa watu wa dar ni washamba na hawapendi elimu. UNAKUTA MTU KAZALIWA MBAGALA, ANAKUA CHOKORAA PALEPALE MBAGALA, ANACHOMWA MOTO PALEPALE MBAGALA,.... yaani hata Ubungo, Mwenge, Na mjini kule posta na kariakoo huwa wanasikia tu hawajawahi kufika.

WAZARAMO na WANGINDO sijui nani aliwaloga.
kaka tuache hizo ni mila na desturi zetu huku ni pwani na sio bara, tafadhali tuombe radhi!
 
Mimi sio mzawa Dar, ila naamini %100, huyu aleandika hii, ni mshamba hasa, Dalili ya washamba ni kukwepa kuonekana mshamba ama hajui na huyu jamaa, mshamba huwa haulizi njia akiugopa kuoneka mshamba.

Wimbi la watu kujiona wajanja, kuliko watu wote wa mkoa fulani, linaongezeka hapa Jamii forums, ila anae andika ukimuona na akuonyeshe shguri zake na makazi yake Utachoka.
Watu wanadhani Ujanja, ni kuja Dar, hata kama Shuguli anazofanya hazimuwezeshi kuishi vizuri.

Kuna Watu wako Dar, mpaka unajuiliza alikosa nini kwao huyu, ila akibahatika kupata Kasmart phone kamchina ni shida.
 
Habari,

Kazi kubwa ya hawa wazaliwa wa dar ni vigodoro, kucheza drafi na bao, na kutembea barabarani na ngoma wakikusanya hela za kigodoro. HAWAPENDI SHULE, WALA KAZI. Wanamiliki maeneo makubwa lakini wanauza na kubaki masikini na kisha kuhamia maporini, sasa wamejazana kibaha na bagamoyo.

HAWAJAWAHI KUPANDA GARI ANGALAU KUTOKA NJE YA DAR, usafiri wao mkuu ni GUTA, na BODABODA.

Utafiti mdogo unaonesha haya makabila ya hawa watu wa dar ni washamba na hawapendi elimu. UNAKUTA MTU KAZALIWA MBAGALA, ANAKUA CHOKORAA PALEPALE MBAGALA, ANACHOMWA MOTO PALEPALE MBAGALA,.... yaani hata Ubungo, Mwenge, Na mjini kule posta na kariakoo huwa wanasikia tu hawajawahi kufika.

WAZARAMO na WANGINDO sijui nani aliwaloga.

Ufala wetu kuwakaribisha na kupiga hela. Asanteni.
 
Washamba ni wale wanaotoka mashambani kwao kuja kuendeleza miji ya watu. Kama nyinyi wachapakazi si mbaki huko kwenu mchape kazi mpate maendeleo?! Endelezeni kwenu muoneshe jinsi mnavyochapa kazi. Umekuja mjini una funza miguuni leo unatukana wenyeji wako
 
Ushakula michembe kisha unaropoka..
Washamba wenzako wako mashambani wanalima mkuu.
 
Back
Top Bottom