Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Katika mahojiano ya JK na PowerBreakFast-FM, JK ameelezea swala la miundombinu Dar na ukiangalia kweli serikali itaimarisha miundombinu kataka hilo Jiji, which Means DAR-ES-SALAAM ndio TANZANIA tuuuu basi, Kwahiyo Mikoa mingine yote haiitaji Miundombinu kuboreshwaa?
Katika Ilani ya CCM serikali ilipaswa kuhamia DODOMA mpaka leo hakuna dalili na hata kwa miaka 10 ijayo serikali haito hamia DODOMA na hiyo kutokana na Kusikiliza maelezo yake ya hiyo miundombinu itakayo tekelezeka DAR pekeyake.
Machinga Copmlex utazijenda wilaya zote za DAR je Mikoa mingine watasubili kwanza mpaka za DAR ziishe ndio wahamie Mwanza au zote zitakuwa zikijengwa kwa wakati huo huo katka baadhi ya mikoa mikubwa kwanza?
Kwa hali hiyo sidhani kama watu wataendelea kukaa huko Lindi/Kigoma/Tabora/ Sumbawanga kwani mikoa mingine itabaki nyuma sana kimaendeleo ni bora Nchi igawanywe kwenye Majimbo
Katika mahojiano ya JK na PowerBreakFast-FM, JK ameelezea swala la miundombinu Dar na ukiangalia kweli serikali itaimarisha miundombinu kataka hilo Jiji, which Means DAR-ES-SALAAM ndio TANZANIA tuuuu basi, Kwahiyo Mikoa mingine yote haiitaji Miundombinu kuboreshwaa?
Katika Ilani ya CCM serikali ilipaswa kuhamia DODOMA mpaka leo hakuna dalili na hata kwa miaka 10 ijayo serikali haito hamia DODOMA na hiyo kutokana na Kusikiliza maelezo yake ya hiyo miundombinu itakayo tekelezeka DAR pekeyake.
Machinga Copmlex utazijenda wilaya zote za DAR je Mikoa mingine watasubili kwanza mpaka za DAR ziishe ndio wahamie Mwanza au zote zitakuwa zikijengwa kwa wakati huo huo katka baadhi ya mikoa mikubwa kwanza?
Kwa hali hiyo sidhani kama watu wataendelea kukaa huko Lindi/Kigoma/Tabora/ Sumbawanga kwani mikoa mingine itabaki nyuma sana kimaendeleo ni bora Nchi igawanywe kwenye Majimbo